wanaume ni majanga matupu


kuchezewa na kupotezewa mda kunakuja tu pindi malengo yanapotofautiana, kama yakifanana hachezewi mtu so inadepend na walivyokubaliana kuachiev malengo yao.
mdada ana lengo la ndoa na sio maisha bila ndoa wile mkaka ana lengo la maisha even without mariage so lazima hapo mdada atakua kapotezewa mda kama ndoa haitakua achieved
 

kaka angu kama ishu ni kuaces kama m nakwiva or nt kuna posibility ya kuishi na kila boyfrend then mnatemana hadi kufikia kuolewa.
 
Nawashukuruni nyoote mliochangia mmenifungua akili sana kwakweli kuna mambo ambayo sikuwahi kuyatafakari nasasa nimejifunza kitu kwaenu nyoote mliochangia.
Japokuwa kalaumu kwanini nimeamua kuileta hapa jf kwa mimi sijaona ubaya maana ndipo tulipo fahamiana chamsingi sijamtaja jina lake kwahiyo respect yake humu haitaondoka itakua palepale.
Uamuzi niliouamua ni kwamba sitahamia kwakwe bila vigelegele hataki nitaendelea kumchuuunaa mpaka atakapokimbia mwenyewe, nina nyumbani kwangu iweje nihamie kwa boyfriend, kama kuonana tunaonana kila siku inahusu...?
 
koh koh

ngoja kwanza akishakulamba ndo akili itakukaa sawa.
 

ya ya ya ya!!!!!!!!! salute kwako Lizzy darubini yako kali asiee!!!!
 
Hio sio mila na desturi zetu mtoto wa kike kuishi na mwanaume kabla ndoa,nakubali wengi wanaona ni jambo la kawaida lakini haimaanishi kwamba ni sawa!!Tabia watasomana tu taratibu hawana ulazima wa kuishi pamoja!!

kwanini isisomeke hivi "sio mila na desturi mtoto wa kike kugegedwa au wa kiume kugegeda (kwa watu wazima kugegedana) kabla ya ndoa" kwa dunia ya leo vijana wanatumiana kwanza then ndoa inategemea nani ana karata nzuri mkononi..
 
kwanini isisomeke hivi "sio mila na desturi mtoto wa kike kugegedwa au wa kiume kugegeda (kwa watu wazima kugegedana) kabla ya ndoa" kwa dunia ya leo vijana wanatumiana kwanza then ndoa inategemea nani ana karata nzuri mkononi..
hivo pia ni sawa mkuu...
 

Gemu unampa?
 

sio wote dada ni wewe umeingia mkenge kwa hiyo usijumuiashe kuwa wanaume wote
 
Wewe hujajua jinsi gani criminals wanajua kutumia mitandao wewe...risk ni kubwa kwenye social media kuliko face to face...tatizo mimi nasoma sana matukio duniani...hivyo hata wanangu wakianza kutumia sijuhi facebook ntawaonya kabisa never to connect with strangers unless wawe ma superstar ambao wana international fans. Na wenyewe wanajua ku manage accounts zao

Mkuu, kumbuka:Hao wa mitaani ndio wanaokuja humu.Hawa wa humu ndio wanakwenda mitaani pia.Kwa kifupi watu ni walewale japo mazingira tofauti....
 
Kuwa member ni one thing..unaweza ku fall na mtu baadae ukaja jua ni member wa JF...hakuna shida...lakini wanaoshinda humu kutafuta wanaume au wanawake ni wakuogopa kama ukoma...chance is ni wana big number ya wanawake au wanaume...wana ka mchezo ka kutongoza hovyo hovyo

Hiyo si culture yetu ku date mitandaoni...kwa kuwa tuna physical socialization kwa nini tuige mkumbo wa watu ambao wametekwa na tecknolojia...(nilikuwa nasoma kitabu kimoja cha bowling alone...Italy huko wanafeel mitandao ilivyoharibu sense ya community; watu hata mpira wanacheza na computer) Ushindwe kupenda unaowaona daily utegemee utapata wa maana humu nyuma ya key board????

 

Sawa mkuu, tuko pamoja.
 
Around 40s teh teh teh...huyo ni most likely divorcee (if she is lucky) au mke yuko masomoni...kama hajaoa basi ni mtu wa ku test kwa kuishi na wadada na kuwatimua .... anachagua sana...ngoja aingie mkenge

point of correction huyo around 40's sio kijana..mengine jiongeze mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…