Hahahaaa hata hivyo na sisi tunahongaga mkuu
Last edited by a moderator:
Pete za ndoa mnavaa wote (mwanamke na mwanaume) maana WAMEOANA, WAMEFUNGA NDOA....
ndio maana cheti wanasaini wote
Pete za ndoa mnavaa wote (mwanamke na mwanaume) maana WAMEOANA, WAMEFUNGA NDOA....
ndio maana cheti wanasaini wote
Mkuu,Kuoana unamaanisha na mwanamke anamuoa mwanaume? Sidhani..
wanawake na nyie mtuhonge sasa maana mnataka kila kitu kiwe sawa sasa
Heheheh
Tumegoma
Hahahaha hii kitu mimi huwa siikubali kuna siku waifu alianza kusema tangu 'tuoane.....' Nikamwambia ishia hapohapo mi sijaoana na mtu. Nimeoa full stop.
na sisi hatuvai pete
Mtavaa tu....
La sivyo mkizivua na sisi tunazivua...wite tuwe peteless.....
Unamtisha nani sasa huogopi kuachika
we mwanamke vip
kuoana ni mambo ya ulaya huku afrika wanawake wanaolewa,huwezi kusema tumeoana wakati nimekulipia mahali!Pete za ndoa mnavaa wote (mwanamke na mwanaume) maana WAMEOANA, WAMEFUNGA NDOA....
ndio maana cheti wanasaini wote
kuoana ni mambo ya ulaya huku afrika wanawake wanaolewa,huwezi kusema tumeoana wakati nimekulipia mahali!
kuoana ni mambo ya ulaya huku afrika wanawake wanaolewa,huwezi kusema tumeoana wakati nimekulipia mahali!
Kuoana maana yake mwanamke na mwanaume ...wanafunga ndoa......nitendo la watu wawili wenye jinsia tofauti
narudia tena africa hatuoani kuna kuoa na kuolewa!Mi sijaolewa tumeoana. Na mahari kalipa
narudia tena africa hatuoani kuna kuoa na kuolewa!
vitabu vya kanisa vilivyotumika kukufungisha ndoa viliandikwa na wazungu huko ulaya ndio maana ukaulizwa kama unakubali kuoana, ila in african context hakuna kitu kama hiyo,Siku ya ndoa niliulizwa kama nakubali kuoana nae....
Nayeye aliulizwa swali hilo pia
Hivyo nathibitisha kuwa tulioana
Labda wewe useme kwanini hamuoani?