Wanaume na wanawake wazinzi mtanasa tu

Wanaume na wanawake wazinzi mtanasa tu

Ni Kama barabarani tuu. Dereva huyu anajitahidi asigonge / asisababishe ajali, Dereva huyu kalewa anakuja anamgonga/anamsababishia ajali!
 
Ndugu zangu ambao mna husudu uzinzi amini nakwambia,utavaa kondomu,utachukua tahadhali zote lakini ukiwa umebobea kufanya ngono lazima utaenda peku tu siku moja na utanasa.kwa hiyo kondom haitokusaidia utanasa tu cha msingi acha zinaa
bola useme waache kwa swala la dhambi na sio kunasa tu,,unaweza usifanye ngono na ukafa kwa kipindupindu sasa kunasa na kipindupindu kipi afadhali
 
Siamini kama huu ugonjwa upo kweli. Nilishafanya kautafiti kangu binafsi kwa kugonga ngozi 100 tofauti bila ya kutumia kinga. Na nilikua narekodi kila mmoja, muda, mahali, bao nilīzopiga, na kama nimemrudia mara nyingine. Lakini nilipoenda kupima nilikutwa negative .Sasa huwa najiuliza kama ungekuwepo ina maana hao wote asiwepo hata mmoja wa kuniambukiza??
 
UKIMWI ni mzuri kwa kuuandika tu but otherwise...... aisee
 
mi situmiagi hizo..naenda peku na nawawahi virusi kabla hawajashtukia nachomoa
 
Back
Top Bottom