Wanaume na ndoa!

mie niltalitizama kwa angle nyengine hili suala ............

kuna wanawake wanaishi na wanaume kwa sababu za kimazingira labda ujauzito ambao hakuutarajia, au kajuulikana kwao (hasa akiwa mschana mdogo) kuwa ana mwanamme, akatimuliwa.....

mimi nnahisi kwanza tanzania mimba sizizopangwa zipo nyingi kupita kiasi..................hebu na tuanze hapo kwanza
tuwafunze wasichana not to have sex mpaka wawe wanajua matokeo yake
kama uko tayari kuingia kwenye tendo.................use protection. kutumia condom kila siku muhali kwa mwanamme atleast basi kula dawa za kuzuwia mimba.

afadhali huyo alopata mimba karuhusiwa kukaa kwa mwanamme ........kuna wengine inawabidi wakatoe uchochoroni

jamani jamani huu mpango wa kupenda sex bila kujua consequences zake ni mbaya mno....tujirekebishe

tumekatazwa kufanya haya mambo mpaka wakati sahihi na kwa njia sahihi kinyume na hapo matokeo yake sio mazuri kama hivi
 
si ulisema umeshindwa kumbadilisha wewe???

mara ushammisi.................
:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
ngoja nikachukue valuu za pikiti ili nione katikati ya mstari umeandika nini
 
bht hilo la kukatazwa lipo wazi ....................lakini labda wenzio hawaamini mungu jee?

na kuwakataza mtu kuwa mungu hapendi msiingie kwenye ngono kwa sasa naona haifanyi kazi ..........better wajue kuwa consequence za kufanya hiyo dhambi ni nini zaidi ya kumkosa muumba (wanasema wenyewe muumba mwepesi wa kusamehe, so kufanya dhambi si tatizo kihivyo)

labda wakijua hasara yake duniani inaweza kuwaokoa
 
@G ukiangalia tuliyokatazwa lazima utagundua madhara yake, kwa uwazi kabisa na hapa sasa hata suala la Mungu haliji wala nini maana madhara yanakup[ata wewe mwenyewe!!! utiifu wa sheria za Mungu wala haumnufaishi Mungu bali sisi wenyewe!!!

majority tunafanya huku tukijua matokeo yake kabisa lakini bado tunafanya!!! basi tukubaliane tu ngono haikataziki kwa karne hii!!
 
sijui nilikuwa wapi mpaka page zimefika 9 ...tunaongelea nini bht?

yaani hata mi naona tumeenda mbele nyuma, kati embeni basi alimradi kudadavua kwa nini mamen wakiishi na mke hawtaki tena kufunga ndoa??
 
:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
ngoja nikachukue valuu za pikiti ili nione katikati ya mstari umeandika nini

wa kichina wangu hausiki hapa tafadhali......tunamuongelea Iribini jana aliachwa hapa hapa JF na mchumbake
 
bht umemaliza maneno .....ngono haikataziki kwa karne hii ................

(but kama wewe mwenyewe uliishi na mwanamme miaka mitatu ndo mkafunga ndoa ......utamkataza mwanao kweli? kwa misingi ipi?)
 
bht umemaliza maneno .....ngono haikataziki kwa karne hii ................

(but kama wewe mwenyewe uliishi na mwanamme miaka mitatu ndo mkafunga ndoa ......utamkataza mwanao kweli? kwa misingi ipi?)
hapo chacha!!!
 
Just a second!:smiling::smiling:
Du! Kwa style hii wanaume wengi wataendea kuwepokuwepo sana kwa kutaraji kwamba next second atafikia maamuzi. La kushangaza umekaa na mwenza wako muda mrefu na mtoto/watoto tayari mnao ugumu uko wapi kuhalalisha wandugu?
 
Mie nataka kumuuliza huyu mama sasa ndoa ya nini? wewe hapo ushamaliza kaa tuu ulee watoto...(BTW mom I really love your avatar)
halafu this confuses me yakhe...anamwitaje baba watoto kama anataka kum introduce kwa jamaa au rafiki: Guys this is my Boyfriend (i suppose this is the conventional term for such an individual) au huyu baba wa watoto wangu? which it sounds like there is something missing....
 
XPin, mambo? eti kabinti yako kakipata mimba wakati bado yupo chini ya himaya yako utafanyaje? au utachukua hatua gani?

by the way nimepnda sana signature yako!

Poa mama! Mzima wewe? Hapo kwenye red hakyanani nimesisimka! Halafu nikakuzawadia hiki hapa

The Following User Says Thank You to Mom For This Useful Post:
Chrispin (Today)


Back to the topic: Hakyanani hebu tema mate chini:

1.Aliyempa mimba kama atakuwa mjingamjinga (konda, dereva, muuza genge nk): Yeye ataenda mochware, mimi ntakuwa nasubiria signecha ya prezidenti, binti atalelewa na mama yake.
2.Kama atakuwa mwanafunzi mwenzie: Ntavuta pumzi na kutafakari kwa kina. Ntahitaji na busara za wazazi wake
3.Kama atakuwa mme wa mtu: Itakuwa kama namba 1 hapo juu pamoja na nyongeza ya mimi kummegea mkewe na mabinti zake kabla sijamhamishia mochware
4.Kama atakuwa kijana mwenye heshima yake na mwenye elimu/kipato cha kueleweka, atafungishwa ndoa ya mkeka. Akiikataa namba moja itaaply

Kuna haja ya kuendelea zaidi au nimeshaeleweka?
 
Mie nataka kumuuliza huyu mama sasa ndoa ya nini? wewe hapo ushamaliza kaa tuu ulee watoto...(BTW mom I really love your avatar)
halafu this confuses me yakhe...anamwitaje baba watoto kama anataka kum introduce kwa jamaa au rafiki: Guys this is my Boyfriend (i suppose this is the conventional term for such an individual) au huyu baba wa watoto wangu? which it sounds like there is something missing....

...'huyu ndo MR''....................hahaaaaaaa lol kazi ipo!!!
 
Chrispin nimecheka karibu nizimike kama kibatari lol!!!
 
Mie nataka kumuuliza huyu mama sasa ndoa ya nini? wewe hapo ushamaliza kaa tuu ulee watoto...(BTW mom I really love your avatar)
halafu this confuses me yakhe...anamwitaje baba watoto kama anataka kum introduce kwa jamaa au rafiki: Guys this is my Boyfriend (i suppose this is the conventional term for such an individual) au huyu baba wa watoto wangu? which it sounds like there is something missing....

kutambulisha si kazi especial kwa huku bongo, mtu anajua ww ni mama naniii so utasema huyu ni baba nanii, ila ikija kwa zile sehemu za waelewa lets say to ur boss u just have to spell this with hesitation, "my .. huby"
 
Tatizo kubwa hapa lingine ni sheria za ndoa za Tanzania ambazo zimepitwa na wakati. Nchi za magharibi kama mwanamke na mwanaume wameishi kwa kipindi fulani katika nyumba moja basi mwanamke ana haki zote kama za mke aliyeolewa kanisani au msikitini. Kuna kila sababu ya bunge kupitisha sheria kama hii nchini.
 
Back
Top Bottom