Mpeni sifa Yesu
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 646
- 130
pole sana, uyo aliyekukera atakuwa anashabikia arsenal. siku arsenali akifungwa huwa nafurahi sana...hahahili tatizo sanasana liko kwa baadhi ya wanaume!utakuta katoka kuangalia mpira afu amefungwa anakuja amenuna,ana stress zake kibao na humo ndani hapakaliki hasira zote zinaishia kwa wake/wapenzi wao na cha ajabu cku hyo ht mechi mwanamke ananyimwa!cyo vizur jaman
shabik wa liver hawez kurud home amemnunia mpenz wake,maana wanajiamini na hawana wasiwasi,sasa arsenal au chelsea ukishabikia unatafuta maeadhi
Muambie ahamie chelsea, chama kubwa! Darajani kumejaa maji hana pa kupita.
sa ndo ht mechi uninyime loh!!
Kweli... Hata mimi nikishafikiria kama wewe
dah wanandoa mwa-enjoyWaliooa hawapigi gemu kila siku, ila jana imetokea genye zimemkamata na mimi nilikuwa na stress za, kufungwa!
kijana wangu nimekugongea like apo juu maana umeongea ukweli mtupu.
Deborita nini mbaya?
hili tatizo sanasana liko kwa baadhi ya wanaume!utakuta katoka kuangalia mpira afu amefungwa anakuja amenuna,ana stress zake kibao na humo ndani hapakaliki hasira zote zinaishia kwa wake/wapenzi wao na cha ajabu cku hyo ht mechi mwanamke ananyimwa!cyo vizur jaman
Dah nilshafikiria tofauti kidogo....
hili tatizo sanasana liko kwa baadhi ya wanaume!utakuta katoka kuangalia mpira afu amefungwa anakuja amenuna,ana stress zake kibao na humo ndani hapakaliki hasira zote zinaishia kwa wake/wapenzi wao na cha ajabu cku hyo ht mechi mwanamke ananyimwa!cyo vizur jaman
Mhhh kazi mnayo mnayo #Deborita
Siwezi mnunia bibi yangu au girl wangu kisa timu yangu kafungwa.
hili tatizo sanasana liko kwa baadhi ya wanaume!utakuta katoka kuangalia mpira afu amefungwa anakuja amenuna,ana stress zake kibao na humo ndani hapakaliki hasira zote zinaishia kwa wake/wapenzi wao na cha ajabu cku hyo ht mechi mwanamke ananyimwa!cyo vizur jaman