LaplaceTransformation
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 776
- 679
Sasa wewe umejuaje kwamba wewe sio wa kwanza kwangu, kumbe ndo maana unanizungushazungusha ukifikiri kwamba ninao wanawake wengine!!!!3
Inaweza kutegemea na ww alivyokuchukulia[emoji12]Habari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada
Kwani baada ya muda gani tangu umkubalie unafaa kumpa mamboYani mwanaume akikubaliwa tu siku hiyohiyo anataka issue
Ni kuomba mungu usikutane na gume gume tu otherwise mhmmhmhmhmhmhmhmh balaa....Kuna tatizo kiukweli wanaume tunalalamikia wanawake na wanawake wanalalamikia wanaume sasa sijui nini kifanyike Mkuu maana ni janga siku hizi hakuna ndoa kilichobaki ni kufichiana aibu ndo pale wanaoshindwa wanakimbizana hivyo ndio inatokea watu wanawaza mapenzi tu
Hadi umemkubalia inamana hamfahamiani?Angalau utoe nafasi ya kufahamiana vizuri
Basi wewe ndio mzuri
Hayo ni maumbile na yeye anaweza kushangaa kwanini ukatalie hiyo issue?Yani mwanaume akikubaliwa tu siku hiyohiyo anataka issue
Acha kumbania mpe jamaa mzigo,tabia mtavumilianaKitabia
Ukitaka kumjua mtu vizuri muhitaji kila wakati hapo mtajuana vemaAngalau utoe nafasi ya kufahamiana vizuri