Wanaume Mungu awasaidie

Wanaume Mungu awasaidie

roselyn2

Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
86
Reaction score
390
Yaani tokea nimeamia hapa nilipo, kuna mkaka mmoja bachela, yaani wanawake wote hapa wameolewa, lakini wanamtegemea yeye, sijui waume zao wana majukumu gani. Umeme ukiisha wanamtazama yeye tu, taa za korido na toilet zikiungua ni yeye tu, gharama za usafi na michango ni yeye tu

Hajui kukataa hata, upole umezidi, hadi huruma jamani yeye anatabasamu tu anajibu haina shida

Mnapitia mengi japokuwa hatuioni thamani yenu, Mungu awasaidie katika utafutaji wenu
 
Mmh!
Huyu si ndo yule aliyekuwa anaomba ushauri wa jinsi ya kuachana na mapenzi?

Kishaumana mabaharia, siku tatu zijazo mtu lazima achakatwe mbususu kimasihara!

Asisahau kuleta mrejesho wa jinsi alivyoliwa kimasihara kwenye uzi wa rikiboy
 
Ukishakuwa mwanaume unaishi kwa plan so lazima atatafuna mmoja kati yenu sio zoba uyo jamaa
Yaani tokea nimeamia hapa nilipo, kuna mkaka mmoja bachela, yaani wanawake wote hapa wameolewa, lakini wanamtegemea yeye, sijui waume zao wana majukumu gani. Umeme ukiisha wanamtazama yeye tu, taa za korido na toilet zikiungua ni yeye tu, gharama za usafi na michango ni yeye tu

Hajui kukataa hata, upole umezidi, hadi huruma jamani yeye anatabasamu tu anajibu haina shida

Mnapitia mengi japokuwa hatuioni thamani yenu, Mungu awasaidie katika utafutaji wenu
 
Yaani tokea nimeamia hapa nilipo, kuna mkaka mmoja bachela, yaani wanawake wote hapa wameolewa, lakini wanamtegemea yeye, sijui waume zao wana majukumu gani. Umeme ukiisha wanamtazama yeye tu, taa za korido na toilet zikiungua ni yeye tu, gharama za usafi na michango ni yeye tu

Hajui kukataa hata, upole umezidi, hadi huruma jamani yeye anatabasamu tu anajibu haina shida

Mnapitia mengi japokuwa hatuioni thamani yenu, Mungu awasaidie katika utafutaji wenu
Wewe sii ulishaambjwa hela ya mwanaume haiendi bure....tulia tuu hao wake za watu wataliwa vizuri tuu
 
Yaani tokea nimeamia hapa nilipo, kuna mkaka mmoja bachela, yaani wanawake wote hapa wameolewa, lakini wanamtegemea yeye, sijui waume zao wana majukumu gani. Umeme ukiisha wanamtazama yeye tu, taa za korido na toilet zikiungua ni yeye tu, gharama za usafi na michango ni yeye tu

Hajui kukataa hata, upole umezidi, hadi huruma jamani yeye anatabasamu tu anajibu haina shida

Mnapitia mengi japokuwa hatuioni thamani yenu, Mungu awasaidie katika utafutaji wenu
1655489003685.png
Nadhani anakuonyesha kuwa ana uwezo wa kukutunza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom