Yaani tokea nimeamia hapa nilipo, kuna mkaka mmoja bachela, yaani wanawake wote hapa wameolewa, lakini wanamtegemea yeye
, sijui waume zao wana majukumu gani. Umeme ukiisha wanamtazama yeye tu
, taa za korido na toilet zikiungua ni yeye tu, gharama za usafi na michango ni yeye tu
Hajui kukataa hata, upole umezidi, hadi huruma jamani
yeye anatabasamu tu anajibu haina shida
Mnapitia mengi japokuwa hatuioni thamani yenu, Mungu awasaidie katika utafutaji wenu

, sijui waume zao wana majukumu gani. Umeme ukiisha wanamtazama yeye tu
, taa za korido na toilet zikiungua ni yeye tu, gharama za usafi na michango ni yeye tu
Hajui kukataa hata, upole umezidi, hadi huruma jamani

yeye anatabasamu tu anajibu haina shida
Mnapitia mengi japokuwa hatuioni thamani yenu, Mungu awasaidie katika utafutaji wenu



