atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,320
- 9,437
Basi utakuwa umeolewa na mbabuJipe moyo mpendwa
Basi utakuwa umeolewa na mbabuJipe moyo mpendwa
Ndio nakula mafao 😂😂😂Basi utakuwa umeolewa na mbabu
Hizi thread nyingine muwe mnazianzisha wakati Kasie kashalala...Habari za mida wana MMU,
Jamani hapa nimechanganyikiwa sielewi, nipo kwenye ndoa miaka 2 na nina mtoto mmoja wa mwaka na ndani ya huo muda wote sijawahi kuhisi mume wangu kunicheat japo kuna wakati huwa anachelewa kurudi ananiambia ni mambo ya kazi tunasort yanaisha.
Sasa majuzi nimekuta nilishika simu yake ndogo, nikakuta sms anamwambia mwanamke amemiss mapenzi anayompa, anajuta kwanini hakumjua mapema, anampenda sana na mambo kama hayo, toka majuzi mpaka muda huu sijamwambia ila yeye amashaanza kujistukia yaan amekuwa mpole ghafla anajikanyaga kanyaga tu.
Nimekuja humu najua kuna wake na waume za watu ma-legend ambao wameshapitia hii adha mnipe ushauri what to do maana nimechanganyikiwa nikikumbuka hizo sms kichwa kinapata moto.
Nawaza hata nimuache asee maana upendo wenyewe hakuna tena.
Kuna sehem nimeandika husamehewi? Em rudia kusoma kwanzaUnataka kusema mwanamke alieolewa akiwa hana bikra hasamehewi dhambi ya kutolewa bikra na mwanaume asie mume wake???
Kwa Mungu dhambi zote husamehewa acha kutisha watu.
Kama ni hivyo usemavyo basi wanawake walioolewa na wanaume ambao hawakuwatoa bikra hawana haja ya kusali( sasa unasali nini ilhali una dhambi isiyosameheka)
Ana hatari sana huyo msichana. Hebu mfundeni basiDada ebu rudia tena eti unawaza umuache?
Yaani umuache mume??! Kwa dunia hii umuache mume!! Anahudumia familia kabisa au? Tatizo ndo hilo la kuchepuka tu ndo uache mume?
Ebu mwambie kaeni chini huenda kweli kuna sehem humfinyii vizuri.
Mkisameheana bado ni ndoa Ile Ile. Kama unaongelea suala na mwili mmoja na unasema hata toba inayotolewa kwa aliyechepuka hairudishi ndoa kili pia kuwa kama uliolewa hakuna bikra pia huku wahi kuwa na ndoa.Ndoa ni wawili kuwa mwili mmoja; ukichepuka mnakuwa na ndoa au ni kitu gani cha watu watatu au zaidi?
Kwa nini Biblia inasema mtu asimuache mkewe isipokuwa kwa sababu ya uzinzi?
Hakuna asiyetenda dhambi wala kuwa na immune ya kutotenda dhambi; ila sijivunii Wala kuhalalisha dhambi zangu kama mnavyohalalisha usaliti. And yes ninaomba Toba na Rehema all the time kwa sababu najijua sio mkamilifu.
Mimi kuwa mdhambi haimaanishi nikiona mtu anahalalisha dhambi (kujisifia ujinga) nikae kimya nisimuonye. Kuonyana ni lazima hata kama hakuna mtakatifu kati yetu. Ndiyo maana hata watoto wetu tunawaonya wanapokosea; au tuache kuwaonya kwa sababu sisi wazazi wao sio watakatifu?
Madhara ya dhambi unayajua ila madhara ya usaliti huyajui? Au unafikiri watu kuachana ni hadi mtu ahame nyumba physically? Unapolala na mtu asiye mke/mume wako automatically umelikana lile Agano lenu la Ndoa; hujavunja ndoa yako kwa uzinzi wako?
Beauty has sent many women into marriage but character is busy packing them out.Habari za mida wana MMU,
Jamani hapa nimechanganyikiwa sielewi, nipo kwenye ndoa miaka 2 na nina mtoto mmoja wa mwaka na ndani ya huo muda wote sijawahi kuhisi mume wangu kunicheat japo kuna wakati huwa anachelewa kurudi ananiambia ni mambo ya kazi tunasort yanaisha.
Sasa majuzi nimekuta nilishika simu yake ndogo, nikakuta sms anamwambia mwanamke amemiss mapenzi anayompa, anajuta kwanini hakumjua mapema, anampenda sana na mambo kama hayo, toka majuzi mpaka muda huu sijamwambia ila yeye amashaanza kujistukia yaan amekuwa mpole ghafla anajikanyaga kanyaga tu.
Nimekuja humu najua kuna wake na waume za watu ma-legend ambao wameshapitia hii adha mnipe ushauri what to do maana nimechanganyikiwa nikikumbuka hizo sms kichwa kinapata moto.
Nawaza hata nimuache asee maana upendo wenyewe hakuna tena.
Kwani uke wenza unaanzia wap?,unaanza kutamani then usaliti unafuata baada ya hapo mchepuko anahalalishwa kuwa mke kamiliHapa tunazungimzia Usaliti sio wake wenza
Mwe mwe 😬😬😬Kwani uke wenza unaanzia wap?,unaanza kutamani then usaliti unafuata baada ya hapo mchepuko anahalalishwa kuwa mke kamili
Heshima ni usaliti?Kwanin usiseme anamuheshimu mkeo wake
Tatizo lenu wanawake mkishapata ndoa, mnajisahau mnaona mmemaliza kila kitu hata penzi (tendo la ndoa) tunapata kwa shida hivyo lazima tujiongeze kukabiliana na haliHabari za mida wana MMU,
Jamani hapa nimechanganyikiwa sielewi, nipo kwenye ndoa miaka 2 na nina mtoto mmoja wa mwaka na ndani ya huo muda wote sijawahi kuhisi mume wangu kunicheat japo kuna wakati huwa anachelewa kurudi ananiambia ni mambo ya kazi tunasort yanaisha.
Sasa majuzi nimekuta nilishika simu yake ndogo, nikakuta sms anamwambia mwanamke amemiss mapenzi anayompa, anajuta kwanini hakumjua mapema, anampenda sana na mambo kama hayo, toka majuzi mpaka muda huu sijamwambia ila yeye amashaanza kujistukia yaan amekuwa mpole ghafla anajikanyaga kanyaga tu.
Nimekuja humu najua kuna wake na waume za watu ma-legend ambao wameshapitia hii adha mnipe ushauri what to do maana nimechanganyikiwa nikikumbuka hizo sms kichwa kinapata moto.
Nawaza hata nimuache asee maana upendo wenyewe hakuna tena.
Hizo takwimu zitanisaidia mm nin ?, sema unataka kuleta ligi zisizokuwa na maana ila najua hata ww unalielewa hilo kuwa wanawake wengi zaidi meUna takwimu za huo wingi wa Wanawake na wanaume?
Sina mkuuUlikosea sana. Uzee ni umri
Una jingine?
angalia usimuuue na mapreshaNdio nakula mafao
Usiondike weye tulia hapo kwa mume. Kila mwanaume anachakata mbususu nje ya ndoa bwana sasa utaolewa mara ngapi ngapiHabari za mida wana MMU,
Jamani hapa nimechanganyikiwa sielewi, nipo kwenye ndoa miaka 2 na nina mtoto mmoja wa mwaka na ndani ya huo muda wote sijawahi kuhisi mume wangu kunicheat japo kuna wakati huwa anachelewa kurudi ananiambia ni mambo ya kazi tunasort yanaisha.
Sasa majuzi nimekuta nilishika simu yake ndogo, nikakuta sms anamwambia mwanamke amemiss mapenzi anayompa, anajuta kwanini hakumjua mapema, anampenda sana na mambo kama hayo, toka majuzi mpaka muda huu sijamwambia ila yeye amashaanza kujistukia yaan amekuwa mpole ghafla anajikanyaga kanyaga tu.
Nimekuja humu najua kuna wake na waume za watu ma-legend ambao wameshapitia hii adha mnipe ushauri what to do maana nimechanganyikiwa nikikumbuka hizo sms kichwa kinapata moto.
Nawaza hata nimuache asee maana upendo wenyewe hakuna tena.