uncle virus
Senior Member
- Dec 30, 2018
- 124
- 288
Ki biblia pia kama hukuolewa ukiwa bikra, huna ndoa, una makaratasi.... Na kwa Hili hata utubu miaka na miaka bikra hairudi wala kumbukumbu za game zako zote hazisahauliki ( utasamehewa dhambi la madhara ya dhambi yanaweza kukuzuia kufikia ukamilifu wa Imani yako)-Wapo wanaorogwa na michepuko ya waume zao ili wafe michepuko iolewe. Na kuna michepuko inaroga hadi watoto wa ndoa ili wakija wenyewe, watoto wao ndiyo wawe watoto wa pekee.
-Kibiblia the moment mke/mume anapoala na mtu mwingine asiye mke/mume wake automatically NDOA imekufa. Kinachobaki hapo ni makaratasi tu na pete, but in the spiritual realm; hakuna ndoa
-Uasherati una asili ya kutapanya. Kwa sababu mwanaume anayechepuka lazima atatumia sehemu ya kipato cha familia yake kuhudumia mchepuko. Kuna rasilimali za familia zinapotelea kwa mchepuko. Kesho mchepuko umezaa pia, resources nyingine za familia lazima zikahudumie mchepuko na mtoto wake.
- Anayechepuka anaiba muda wa familia yake na kuutumia na mchepuko.
-It's an emotional abuse kwa mke. Lazima mke ataumia, ajiulize maswali kibao; wengine wanaishia kupata presha na depression
Ki biblia pia hata kama uliolewa bikra ukimwangalia mwanaume asiyewako na kumtamani ushazini...
Huu ujasiri wa kufanya maamuzi kama malaika mnautoa wapi? Leo hii mngeulizwa ambaye hajawah kuvunja mojawapo ya hayo 2 juu, Nan atabaki kurusha jiwe?