King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,827
- 94,969
Shule zinafunguliwa Tarehe 8 mwezi ujao.Nawasalimu wakuu
Hii imekuwa kero sana jamani yaani wanaume hawajui kucheza na akili zetu(kina-dada)
Mtu anakutongoza leo asubuhi harafu jion anakuuliza "vipi jibu la ombi langu"? sasa hapo ndo unajibu nini kwamba nimekubali au?
Me mwanaume napenda akinitongoza aanze kunitreate kama tayari nimekuwa mtu wake, yaani nialike lunch, dina au hata kama huna uwezo wa kualika sehemu nioneshe tu kunijali siku mpaka siku
Hivyo vitu vingine vinakuja tu! automatically yaani kama nimekuelewa utajua tu wewe sio mpaka uniulize ila kama sijakuelewa nitakuonesha vile vile
Hapo unakuta jamaa kakukomalia eti lile jibu langu vipi, ukisema hapana utaambulia matusi hataree mara ooh! nilikuwa nakutest tu hufai kuwa mtu wangu kwani kutest hiyo veeepeee!!!
Povu ruksa jamani, maana kuna wengine wapo na stress zao huko watataka kuzihamishia kwangu ila mbadilike bandugu
Kumbe naweza kuanza biashara kabla sijapata leseni!?Nawasalimu wakuu
Hii imekuwa kero sana jamani yaani wanaume hawajui kucheza na akili zetu(kina-dada)
Mtu anakutongoza leo asubuhi harafu jion anakuuliza "vipi jibu la ombi langu"? sasa hapo ndo unajibu nini kwamba nimekubali au?
Me mwanaume napenda akinitongoza aanze kunitreate kama tayari nimekuwa mtu wake, yaani nialike lunch, dina au hata kama huna uwezo wa kualika sehemu nioneshe tu kunijali siku mpaka siku
Hivyo vitu vingine vinakuja tu! automatically yaani kama nimekuelewa utajua tu wewe sio mpaka uniulize ila kama sijakuelewa nitakuonesha vile vile
Hapo unakuta jamaa kakukomalia eti lile jibu langu vipi, ukisema hapana utaambulia matusi hataree mara ooh! nilikuwa nakutest tu hufai kuwa mtu wangu kwani kutest hiyo veeepeee!!!
Povu ruksa jamani, maana kuna wengine wapo na stress zao huko watataka kuzihamishia kwangu ila mbadilike bandugu
Wacha buana,umeamua uteme nyongo eti??.Wanaume wa ajabu sana wengine wanafanya hizo mambo ila wale wanaojifanya wajuaji matusi na kuponda etiii nilkuwa nakujaribu nimeona mwanamke huyu kilazaa hiyo vepeeeee
Yan wanaume wanajionaga miungu watu wakat kwenye k hawana ujanja wowote kutwa kutupondaa oooh tukikubali haraka Malaya tukiwazungusha shida hawaeleweki wanataka nini?
Sasa nasemaje mwanamme unayebwabwaja utahangaika sana wenzako wanatutreat tu wanajilia vizur vya dunia nyaaaaaau kabisaaa
Wanaume wa ajabu sana wengine wanafanya hizo mambo ila wale wanaojifanya wajuaji matusi na kuponda etiii nilkuwa nakujaribu nimeona mwanamke huyu kilazaa hiyo vepeeeee
Yan wanaume wanajionaga miungu watu wakat kwenye k hawana ujanja wowote kutwa kutupondaa oooh tukikubali haraka Malaya tukiwazungusha shida hawaeleweki wanataka nini?
Sasa nasemaje mwanamme unayebwabwaja utahangaika sana wenzako wanatutreat tu wanajilia vizur vya dunia nyaaaaaau kabisaaa
Kwa taarifa yako mwanamke hata akiwa chizi anazaa tu, ila mwanaume akiwa chizi thubutu maana yake ni kwamba mwanamke vyovyote nilivyo nitapata tu wa kunigegeda
Make sure kila mmoja anajilipiaMiss_Irene jioni tunaweza jumuika pamoja kwa mlo wa jioni na kupata vinywaji baridi kidogo.. pls kama hautojali pia nitaomba nikupitie 😎
Endelea kuliwa tu mpaka ujaze coaster mbwa maji mmoja wewe..Wanaume wa ajabu sana wengine wanafanya hizo mambo ila wale wanaojifanya wajuaji matusi na kuponda etiii nilkuwa nakujaribu nimeona mwanamke huyu kilazaa hiyo vepeeeee
Yan wanaume wanajionaga miungu watu wakat kwenye k hawana ujanja wowote kutwa kutupondaa oooh tukikubali haraka Malaya tukiwazungusha shida hawaeleweki wanataka nini?
Sasa nasemaje mwanamme unayebwabwaja utahangaika sana wenzako wanatutreat tu wanajilia vizur vya dunia nyaaaaaau kabisaaa
Njaa zitawaua nyie Komba madafu..Nipitie hapa ofisin basi jamani!
Nadhan hii ndio wanapenda mwisho wasiku kuja kutukan wanaume wote.wanagawa k zao kama panya bila hata kutongozwa ngedere mwitu hawaKuna akina sie ambao kutongoza hatupendi kabisa yaan ni mwendo wa mialiko ya Kutoana out na ofa ndogo ndogo na kukujal kwa sasa as mpenz mpka unajikuta umekuwa mpenz bila kutongozwa....siku ukianza kulia kuwa mbona sikujal au sikupend ndio hapo nakuuliza lini niliwahi sema nakupenda
Mzee hawa kwa kifupi wengi ni kama omba omba.Wana njaa na tamaa ya vya watu na wakat na wao wanavyo.Ukiwaambia wanajiuza wanakutukana!!Kwani kusema nimekubali na sijakubali sh ngapi? Yaani mtu kukuelewa hadi akulishe chakula au bia/soda?
Fact hii ndugu!Mzee hawa kwa kifupi wengi ni kama omba omba.Wana njaa na tamaa ya vya watu na wakat na wao wanavyo.Ukiwaambia wanajiuza wanakutukana!!