Ze last Born
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 1,768
- 3,876
Vipi nikituma Muamala wa M-PESA siku hiyo hiyo uliyonikubalia tongozo langu utaurudisha pia??Na wale wanaume ambao wakitutongoza na tukawakubalia tu hapo hapo wanaomba mzigo wakome mimi mwanaume akinitongoza nikamkubalia halafu eti siku hiyo hiyo akaniomba mzigo mbona atafurahi na roho yake jinsi nitakavyobadili gia angani
Mistake kuendesha thread kama baa (in mnyika voice)Mh. Putin kaa chini tafadhari (in Anna Makinda's voice)
Tafadhali Demiss mjibu tafadhaliEti eeh, kwenye list?
Sasa mbona unakuja kulalamika jukwaani?Kwa taarifa yako mwanamke hata akiwa chizi anazaa tu, ila mwanaume akiwa chizi thubutu maana yake ni kwamba mwanamke vyovyote nilivyo nitapata tu wa kunigegeda
Nawasalimu wakuu
Hii imekuwa kero sana jamani yaani mwanaume hawajui kucheza na hakili zetu(kina-dada)
Mtu anakutongoza leo asubuhi harafu jion anakuuliza "vipi jibu la ombi langu"? sasa hapo ndo unajibu nini kwamba nimekubali au?
Me mwanaume napenda akinitongoza aanze kunitreate kama tayari nimekuwa mtu wake, yaani nialike lunch, dina au hata kama huna uwezo wa kualika sehemu nioneshe tu kunijari siku mpaka siku
Hivyo vitu vingine vinakuja tu! automatically yaani kama nimekuelewa utajua tu wewe sio mpaka uniulize ila kama sijakuelewa nitakuonesha vile vile
Hapo unakuta jamaa kakukomalia eti lile jibu langu vipi, ukisema hapana utaambilia matusi hataree mara ooh! nilikuwa nakutest tu hufai kuwa mtu wangu kwani kutest hiyo veeepeee!!!
Povu ruksa jamani, maana kuna wengine wapo na stress zao huko watataka kuzihamishia kwangu ila mbadilike bandugu
Eti Eeeh!!!Halaf hiyo uliyoelezea ndo tongoza yangu.
Doooh mbaya wewe hutaki kuconfess
Yaani mapenzi mazuri ya kweli yanakuja tu automatic aiseeeeAmbaye ni mke wangu leo katika mahusiano yetu sikuwahi kumuuliza ombi langu vp na wala hakuniambia kama ombi langu amelikubali, huwa hata mimi mwenyewe sielewi mpaka leo ilikuwaje mpaka tukaoana bila neno la "nimekubali ombi lako" kusemwa.
[emoji44][emoji44][emoji44] loh!
Ndo nipo hivo,Yani nakutake care mpaka unaona kama unachelewa kunipa.Halaf huwa sina haraka.Kuna mdada nilimcare mpaka nampikia,tunaenda Kula chips yai la kitaa,analala hapo pembeni asubuhi kila mtu na majukumu yake.HakuaminiEti Eeeh!!!
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji39]Ndo nipo hivo,Yani nakutake care mpaka unaona kama unachelewa kunipa.Halaf huwa sina haraka.Kuna mdada nilimcare mpaka nampikia,tunaenda Kula chips yai la kitaa,analala hapo pembeni asubuhi kila mtu na majukumu yake.Hakuamini
Namchemshia maji ya kuoga na wala simwambii kitu,kwamba naomba tamu walaaa.Tukaishi ndani muda mreeefu bila chochote nakwambia[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji39]
Yaani mapenzi mazuri ya kweli yanakuja tu automatic aiseeee
To know about what ?
Hivi bado kuna vijana wanatongoza, mi nilishasahau maana mwanamke unamjengea mazingira fulani mwenyewe anajikuta kagegedwa.Nawasalimu wakuu
Hii imekuwa kero sana jamani yaani mwanaume hawajui kucheza na hakili zetu(kina-dada)
Mtu anakutongoza leo asubuhi harafu jion anakuuliza "vipi jibu la ombi langu"? sasa hapo ndo unajibu nini kwamba nimekubali au?
Me mwanaume napenda akinitongoza aanze kunitreate kama tayari nimekuwa mtu wake, yaani nialike lunch, dina au hata kama huna uwezo wa kualika sehemu nioneshe tu kunijari siku mpaka siku
Hivyo vitu vingine vinakuja tu! automatically yaani kama nimekuelewa utajua tu wewe sio mpaka uniulize ila kama sijakuelewa nitakuonesha vile vile
Hapo unakuta jamaa kakukomalia eti lile jibu langu vipi, ukisema hapana utaambilia matusi hataree mara ooh! nilikuwa nakutest tu hufai kuwa mtu wangu kwani kutest hiyo veeepeee!!!
Povu ruksa jamani, maana kuna wengine wapo na stress zao huko watataka kuzihamishia kwangu ila mbadilike bandugu
hao huwa wanabakwa,Kwani uongo machizi wangapi wanazaa mtaani?
Endelea kunielewaWw hatujamalizana unajua...
Afu kutongozana ni mambo ya watoto...
Watu wazima husema kiutu uzima.
Mimi nimekuelewa!!