Wanaume mpo kweli?

Wanaume mpo kweli?

Mpaka sasa hivi sijapewa hata kadi ya xmass
Nguo sijanunuliwa
Hela ya Saluni sijapewa
Halafu nikikataa Na bikra yangu naonekana nina dharau kweli?
Bikra na yule mtoto aliekuwa mgongoni vipi...Ulimpata kwa roho mtakatifu nini?😀😀😀
 
Mpaka sasa hivi sijapewa hata kadi ya xmass
Nguo sijanunuliwa
Hela ya Saluni sijapewa
Halafu nikikataa Na bikra yangu naonekana nina dharau kweli?

MBONA mm hujanitafuta miss
NI PM na namba nitume vitu vidogo hivyo
 
Bikra za limau hizo tushazichoka wapelekee wajinga wajinga
 
Wewe utataka tu papuchi
Hapo ndio unapokosea, papuchi si unatoa with your consent. Papuchi ukila ambayo haina stress ndio unafaidi.
Wewe mpaka unihakikishie hauna stress ndio nakuomba LA sivyo tunapiga story katika dinner date tu .
 
Back
Top Bottom