DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,900
Acha roho mbaya mkuu
Acha roho mbaya mkuu
Acha roho mbaya mkuu
Njoo kwangu basi jamaa akiendelea kuzingua. Nakuahidi mimi nitakuwa wa kwako peke yakoYaani mie najitunza hivo, hata nikitongozwa tu najistukia Kama ananiona, leo yeye anagawa ovyo utamu wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
POLE SANA KWA KUMPENDA SHETANI, MAY BE MTAFUTE MALAIKA ATAKUFAA
SIKU ZOTE DUNIA HAIKO FAIR...MKIAMBIWAGA MSIPENDE MAZIMA MAZIMA NYIE MNAKUWA WABISHI
Njoo kwangu basi jamaa akiendelea kuzingua. Nakuahidi mimi nitakuwa wa kwako peke yako
Shida yenu kama hapo unalalamika ukipata mstaarabu shida zote za Mr. Shetani wako utaanza kumpa Mr. MstaarabuYaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida yenu kama hapo unalalamika ukipata mstaarabu shida zote za Mr. Shetani wako utaanza kumpa Mr. Mstaarabu
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Unapishana fuso la mahindi
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu,wanavosema tunza bikra yako mpk ndoa sio wajinga.......
ona sasa hizi stress unazopata, vidonda vya tumbo vipo njiani kama havijafika
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea nae acha ujinga we binti,
Wanaume hatukuumbiwa kuwa na mwanamke mmoja,na ukiona mwanamme Ana mwanamke mmoja so mzima huyo akaimwe au Hali uake ya uchumi ngumu au anakamatia chips funga a.k.a dada poa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu jibu kiukweli toka moyoni.
Ushawahi kuwa na uhusiano na wanaume waeili au zaidi kwa wakati mmoja?
Wanaume maboya hamuwataki, mnataka "someone who will sweep your feet away" ndio hivyo tena hutakuwa swept peke yako
Sent using Jamii Forums mobile app