Gyole
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 7,008
- 7,091
- Thread starter
- #261
ukimchunguza sana bata utashindwa kumfaidi
Kuikimbia nchi kwa vile inanyesha, utaikimbia kila nchi, maana IT RAINS EVERYWHERE
tatizo ni kwamba hawa wanawake wakipendwa na mtu ambae yupo serious wanamkataa wao wanataka mahandsome boy na wenye hela... mtazd kuumizwa sana
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo Shetani ndio ana mademu zaidi ya 10?
Huwezi kuandika mada yako bila kumsingizia shetani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mwanamke huwa anasema hivyo.
Kuwa sinauwezo wa kuhudumia wawili lakin kabla ya kuolewa ulikuwa nao zaidi ya watatu.
Komaa na huyo maana huwezi kumpata malaika. Badirisha wa kwako.
Wachache wanafurahia,wengi wao wanalia.Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana,ni mapito tunayopitia wanadamu.
Umeshajua hiyo ni sumu, kuendelea kupenda sumu ni kuchagua kutojipenda wewe mwenyewe, maisha yako yanaweza kuendelea bila yeye, kuna kipindi katika maisha yako hukua naye, basi amini inawezekana kuishi bila kua nae. Anza kukata mawasiliano nae kidogo kidogo mpaka atapotea kwenye mawazo yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hawajui nini wanataka. Wanajazana ujinga tu wakifikiri sifa. Mafurushi.
Pole sana kwa yaliyokusibu,ila naomba jiulize swali dogo tu ,umegegedwa na wanaume wangapi na je uliwahi kumwambia ukweli huyo mpenzi wako?ama ni zile drama za ni wewe tu,,
Mhimu mpende kama anavyoonyesha kukupenda ,hayo mengine acha kihelehele
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama hili jibu atalipendaTangazo lako tumelipokea.
Tumelisikia, tumelielewa, tutalifanyia kazi baada ya huu msimu wa sikukuu kuisha.
nakushauri tafuta Wanyiramba wenzako, linalotokea mnarudi kwa Wazee