Gyole
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 7,008
- 7,091
- Thread starter
- #241
Mfuate ushauri wa yule comedian. Tafuta mwanaume mzembe mzembe, kwanza anajiona kabahatika kuwa na wewe,hata hajui ukiondoka atapataje tena mwanamke. Sisi mavichaa mtuachie vichaa wenzetu
Mfuate ushauri wa yule comedian. Tafuta mwanaume mzembe mzembe, kwanza anajiona kabahatika kuwa na wewe,hata hajui ukiondoka atapataje tena mwanamke. Sisi mavichaa mtuachie vichaa wenzetu
Nitakupa chochote unachopenda kasoro maisha yangu
Nyingine ni dhambi za miaka iloyopita unalipia ndiyo maana nakuuliza hivyoSijawahi kuwa na wawili, na tangu niolewe sijawahi hata kufikiri kumsaliti mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasasa itakua ngum kidogoTangazo lako tumelipokea.
Tumelisikia, tumelielewa, tutalifanyia kazi baada ya huu msimu wa sikukuu kuisha.
Nyingine ni dhambi za miaka iloyopita unalipia ndiyo maana nakuuliza hivyo
Kwahiyo Shetani ndio ana mademu zaidi ya 10?Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo Shetani ndio ana mademu zaidi ya 10?
Huwezi kuandika mada yako bila kumsingizia shetani?
Sent using Jamii Forums mobile app





Kuikimbia nchi kwa vile inanyesha, utaikimbia kila nchi, maana IT RAINS EVERYWHEREYaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa
Sent using Jamii Forums mobile app
tatizo ni kwamba hawa wanawake wakipendwa na mtu ambae yupo serious wanamkataa wao wanataka mahandsome boy na wenye hela... mtazd kuumizwa sana
ukimchunguza sana bata utashindwa kumfaidiYaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa
Sent using Jamii Forums mobile app
tatizo ulinikataa ukasema mimi mfupi,hadi ukaniita mbili kimo,yani nilikupenda hadi nikajihisi kufa kufa hivi,nililala siku tatu bila ya kula,ulinitusi na kunikejeli sana,lakini leo unakuja na kulalamika mitandaoni,kweli ulimwengu hadaa na dunia ndio shujaa acha ulimwengu ukufunze.Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa
Sent using Jamii Forums mobile app
tatizo ulinikataa ukasema mimi mfupi,hadi ukaniita mbili kimo,yani nilikupenda hadi nikajihisi kufa kufa hivi,nililala siku tatu bila ya kula,ulinitusi na kunikejeli sana,lakini leo unakuja na kulalamika mitandaoni,kweli ulimwengu hadaa na dunia ndio shujaa acha ulimwengu ukufunze.
Alisikia lmevi mmoja akiwaza baada ya kulewa kidooooogo.