Wanaume mnapenda kutubebesha lawama

Wanaume mnapenda kutubebesha lawama

Na Hawa alishawishiwa na Shetani kula tunda, Hapa kuna somo moja wanaume tunakwenda na Mungu na wanawake wanakwenda na shetani.


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Eeeeeeeh yamekuwa haya?
 
ADAMU alipo ulizwa na MUNGU je ulikula tunda nililo kuagiza usilile. Adamu akajibu si huyu mwanamke uliye nipa ndiye aliye nipa.
Badala ya Adamu kuomba msamaha kwa kosa lake, badala yake, anamsingizia mkewe
Kama ilivyo kuwa kwa Adamu ndivyo ilvyo hata sasa.
Hivi haya maneno naweza kuyapata katika kitabu gani ?

Ni hilo tu.
 
Adam anaonyesha ni jinsi gani MWANAUME alivyo shujaa '' SI HUYU MWANAMKE ULIYENIPA", kwamba haya umeyasababisha wewe. Adam hakumsingizia mwanamke kama mleta mada anavyojaribu kuhalalisha......kitovu cha uovu ni mwanamke.....ukweli hujitenga na uongo......
 
Hapo kwa adam,Adam Hana kosa ila nachokiona hapo mwanamke ni Kama daraja la uovu!! Adam kasema kweli kwani nani kamshawishi ulitaka aseme ng'ombe..?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mecheka
 
Wanawake ndo jinsi mlivyo mnaharibugi mambo sana ata samson ndo mlimuaribia future yake...
ADAMU alipo ulizwa na MUNGU je ulikula tunda nililo kuagiza usilile. Adamu akajibu si huyu mwanamke uliye nipa ndiye aliye nipa.
Badala ya Adamu kuomba msamaha kwa kosa lake, badala yake, anamsingizia mkewe
Kama ilivyo kuwa kwa Adamu ndivyo ilvyo hata sasa.


Mtoto akifeli shule utasikia umechukua akili za mama yako. Kumbe hata wewe mwenyewe ulifaulu kwa madesa ya rafiki zako.

Kubariki kuwa hata nyinyi si watimilifu.
 
ADAMU alipo ulizwa na MUNGU je ulikula tunda nililo kuagiza usilile. Adamu akajibu si huyu mwanamke uliye nipa ndiye aliye nipa.
Badala ya Adamu kuomba msamaha kwa kosa lake, badala yake, anamsingizia mkewe
Kama ilivyo kuwa kwa Adamu ndivyo ilvyo hata sasa.


Mtoto akifeli shule utasikia umechukua akili za mama yako. Kumbe hata wewe mwenyewe ulifaulu kwa madesa ya rafiki zako.

Kubariki kuwa hata nyinyi si watimilifu.
Na nyie huwa mnarusha mawe kimya kimya
Na tukiwa hatuna pesa mnawaambia,"Baba yenu hana hela"....

Tukiwa nazo tukiwapa mhudumie watoto mnawapa watoto huku mkisema ,"wanangu nimewaleteeni zawadi"
 
ADAMU alipo ulizwa na MUNGU je ulikula tunda nililo kuagiza usilile. Adamu akajibu si huyu mwanamke uliye nipa ndiye aliye nipa.
Badala ya Adamu kuomba msamaha kwa kosa lake, badala yake, anamsingizia mkewe
Kama ilivyo kuwa kwa Adamu ndivyo ilvyo hata sasa.


Mtoto akifeli shule utasikia umechukua akili za mama yako. Kumbe hata wewe mwenyewe ulifaulu kwa madesa ya rafiki zako.

Kubariki kuwa hata nyinyi si watimilifu.

Ni kweli usemayo, Katika jamii za Afrika, linapotokea jambo baya katika familia hasa kama jambo hilo linahusu watoto wanawake ndo huishia kubeba mzigo wa lawama. Na hii ni kwa sababu jukumu kubwa la malezi ya watoto huwa lipo upande wa mama zaidi kuliko baba hivyo inapotokea mtoto akifanya jambo fulani baya basi huonekana kuwa mama ndo ameshindwa kumlea na kumsimamia vyema huyo mtoto ndo maana ameharibikiwa au amefanya jambo fulani baya ambalo halifurahishi katka jamii.

Cha kufanya my dear Sky Eclat ni kuvumilia tu huo mzigo wa lawama utakaokujia kwa namna yoyote ile hata kama lawama hizo haukuzistahili maana hata kama ungeandika kitabu, ni vigumu sana kuondoa dhana hii kwenye vichwa vya wanaume wa kiafrika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom