Wanaume mnajiamini sana aisee

Duuuh
 
Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.
Ni vile tu hujui hii kichwa ndogo inavyosumbua hasa ukiwa umepiga maji kidogo. Kibaya zaidi ukute umeenda lodge halafu mwamba anazagamua upande wa pili, yaani hapo hata muhudumu atavutwa, mwanaume haogopi kufa. Ajali kazini
 
Fikiria huyo mwanamke pia anayeitwa anakuta mwanaume anavuta masigara na bangi plus Valuu au konyagi na katoka trip machimboni kuja town kuuza mawe hana hata time ya kuoga, ataoga baada ya kukamua au asubuhi halafu ni kibint tu cha 2000 kinakuja na kulala naye. Nani sasa hapo anajiamini zaidi? So alieuza cheni bandia kalipwa fweza feki, ngoma droo. Hata mumeo siku ya kwanza kukutana naye ullikua jasiri sana kama huyo mwanaume ndio ukamjua sio wala sio big deal as long as unakuta na binadamu mwenzio inatosha, mengine ya kurudi au kuendelea yatafuata baada ya hapo

Haya maisha sio magumu kihivyo hadi tuumbe nani wa kukutana naye kesho kwa namna yoyote sio kitandani tu
 
Huu ninuwongo mtupu. Wanawake wa hivyo kuomba reception wanakuwaga classic na hawanaga mambo ya wizi wala uti.
Kweli hii imeandikwa na mwanamke.
Alafu tambua uzuri wa mwanamke ni kabla ya kumgegeda ukishamkojolea 3 times mwanamme hana uzuri wowote ule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…