Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,144
- 3,848
Yaani unakuta mtu mwili mzuri, kifua cha mazoezi anapiga ma push-up vizuri lakini kunako sita sita hakuna kitu, yeye kimoja tu anakoroma kama kameza cherehani, au ndo hizi kuku za kisasa mnazokula? Halafu unakuta mtu kila jioni anaenda kula pweza sasa sijui hazimsaidii!
Aaaaaagh, ukipigwa chini unaanza kulalamika. Nimetumia wanaume maana ni wanaume wengi wa hapa mjini ni shida kweli kwel hata mashost wanalalamika sana.
Hebu badilikeni bwana!
Nipo my ex mambo vipi
Poa tu, umepotelea wapi? Nani huyo kakuteka kwa kasi ya ajabu that way!! Mwambie bado kawivu kapo kwa mbali hivyo awe anakuachia achia jamani.
Kumbe bado una wivu....hamna wa kuniteka sema tu mishemishe na joto la dar zinanikeep busy
Kwa mtazamo kama huu lazima wanawake wadai mabadiliko, lazima wanawake watuponde, anyway dogo mwanamke haridhiki kwa kupigwa vingapi,anaweza kuridhika hata bila kupigwa vingapi.
Ooooh so yo back! Haya bwana, wivu sina ila karoho kanauma.
Nirudie kama karoho kanauma
Nasubiri kwanza ukue kue uache kurukaruka.
Tatizo langu nachelewa kufika kileleni mwenzangu kashafika,msaada pliz
Biashara matangazo
Bila matangazo haiendi
Yaani unakuta mtu mwili mzuri, kifua cha mazoezi anapiga ma push-up vizuri lakini kunako sita sita hakuna kitu, yeye kimoja tu anakoroma kama kameza cherehani, au ndo hizi kuku za kisasa mnazokula? Halafu unakuta mtu kila jioni anaenda kula pweza sasa sijui hazimsaidii!
Aaaaaagh, ukipigwa chini unaanza kulalamika. Nimetumia wanaume maana ni wanaume wengi wa hapa mjini ni shida kweli kwel hata mashost wanalalamika sana.
Hebu badilikeni bwana!
Yaani unakuta mtu mwili mzuri, kifua cha mazoezi anapiga ma push-up vizuri lakini kunako sita sita hakuna kitu, yeye kimoja tu anakoroma kama kameza cherehani, au ndo hizi kuku za kisasa mnazokula? Halafu unakuta mtu kila jioni anaenda kula pweza sasa sijui hazimsaidii!
Aaaaaagh, ukipigwa chini unaanza kulalamika. Nimetumia wanaume maana ni wanaume wengi wa hapa mjini ni shida kweli kwel hata mashost wanalalamika sana.
Hebu badilikeni bwana!
unatusingzia sio wote ila ukwel wangu nikikutana na dem hajui kujshughulsha kunako uwanja wa fund seremala mzuka huwa unakata kabsa hayo mambo yanahitaji ushirikiano kama vijana wa la masia ushindi lazma hebu jaribu kuonyesha ushirikiano