Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,160
- Thread starter
- #61
Itabidi ujitahidi kumpa soma rafiki yako, mwambie kuna jirani yenu wakiume alioa mwanamke kutoka msumbiji, na huyo mwanamke akawa anamuamini sana mme wake...kumbe mme wake anapenda rafiki yake huyo mwanamke...Afu unamwambia wanaume hawaminiki lazima awe na yeye careful na mme wake asimuamini sana mwanaume!
Ujumbe utafika kiaina aina, umenipata.
mhh maneno makali hayaa lakini nimekuelewa ikizidi nitafanya hivyo kwa sasa let me just be cul