Wanaume mna tatizo gani?

Kabakabana

JF-Expert Member
Aug 5, 2011
5,551
1,159
Nilikutana na huyu kaka mwaka 2007 kwenye harusi ya dada wa rafiki yangu.Huyu rafiki yangu ni kipenzi sana na amekuwa kama ndugu yangu,.
Hiyo harusi nakumbuka ukumbi ulikuwa ni pale msasani. Tulipotoka huyu mkaka nampa jina la Y akasema twende tukapate vinywaji sehemu nyingine na kweli tukatoka mimi,huyo rafiki yangu na yeye.,.
Aliniomba namba ya simu nikampa.
Kipindi hicho nilikuwa naishi upanga,akawa ananifatilia sana lakini sikumpenda kwa kweli kwa hiyo sikumkubali.
Alinifatilia mpaka mwaka jana na nilikutana nae mara kadhaa,tunapiga story na kupata drinks then ananirudisha home.
Sasa mwaka huu mwezi wa kwanza kuna rafiki yangu alikuwa anaolewa ikabidi nije dar kwenye harusi.Laa haula bwana harusi ni mr.Y!
Nilishukuru Mungu kuwa sikulala nae na wakati wa kwenda kutoa pongezi,nilipompa mkono akanitekenya nilishtuka kwa kweli nikamchek my friend akawa yuko tu busy kuwahug wageni waalikwa.Wakati wa dancing akanifata kudance na mimi akaniambia bado ananipenda halafu akanikonyeza!nilimshangaa sana.Na mpaka sasa najiuliza maswali mengi hivi wanaume wana matatizo gani?
Kwenye siku ya ndoa yako unamwambia mtu mwingine unampenda je ni sahihi?
 
Nilikutana na huyu kaka mwaka 2007 kwenye harusi ya dada wa rafiki yangu.Huyu rafiki yangu ni kipenzi sana na amekuwa kama ndugu yangu,.
Hiyo harusi nakumbuka ukumbi ulikuwa ni pale msasani. Tulipotoka huyu mkaka nampa jina la Y akasema twende tukapate vinywaji sehemu nyingine na kweli tukatoka mimi,huyo rafiki yangu na yeye.,.
Aliniomba namba ya simu nikampa.
Kipindi hicho nilikuwa naishi upanga,akawa ananifatilia sana lakini sikumpenda kwa kweli kwa hiyo sikumkubali.
Alinifatilia mpaka mwaka jana na nilikutana nae mara kadhaa,tunapiga story na kupata drinks then ananirudisha home.
Sasa mwaka huu mwezi wa kwanza kuna rafiki yangu alikuwa anaolewa ikabidi nije dar kwenye harusi.Laa haula bwana harusi ni mr.Y!
Nilishukuru Mungu kuwa sikulala nae na wakati wa kwenda kutoa pongezi,nilipompa mkono akanitekenya nilishtuka kwa kweli nikamchek my friend akawa yuko tu busy kuwahug wageni waalikwa.Wakati wa dancing akanifata kudance na mimi akaniambia bado ananipenda halafu akanikonyeza!nilimshangaa sana.Na mpaka sasa najiuliza maswali mengi hivi wanaume wana matatizo gani?
Kwenye siku ya ndoa yako unamwambia mtu mwingine unampenda je ni sahihi?
Yes tupo sahihi,tena sana!!
Cha msingi kama kweli anakupenda,na wewe upo free,na kama bahati nzuri ww ni islamic,then mwambie apeleke posa ili akumiliki kihalali,kama hataki then achana nae bcoz lengo lake ni kukuchezea na kukutosa,mbona waowaji wapo wengi tuu dadaaa?
 
Dah my sister ujue mapenzi ni kitu hatari huyu inaonekana moyo wake ulikudondokea ila ukawa mgumu. Ungekubali tukala maali yake au ni jibaba?
 
ila sema ukweli roho ilikundunda nusu ikutoke eti?
unajishaua eti ulikuwa hujalala ne etc mmmh unawish ni wewe ungeolewa nae au?

usiwe na wasi utapata wako.
imagine kama ungekutana nae a day b4 na labda angekushawish umpe vitu, ungeliaje harusini?

mie nahisi ingekuwa sio harusi yake umemuona na ameoa bado angekupata tu kwa raha zote kwa kukudanganya bado single.
 
Nilikutana na huyu kaka mwaka 2007 kwenye harusi ya dada wa rafiki yangu.Huyu rafiki yangu ni kipenzi sana na amekuwa kama ndugu yangu,.
Hiyo harusi nakumbuka ukumbi ulikuwa ni pale msasani. Tulipotoka huyu mkaka nampa jina la Y akasema twende tukapate vinywaji sehemu nyingine na kweli tukatoka mimi,huyo rafiki yangu na yeye.,.
Aliniomba namba ya simu nikampa.
Kipindi hicho nilikuwa naishi upanga,akawa ananifatilia sana lakini sikumpenda kwa kweli kwa hiyo sikumkubali.
Alinifatilia mpaka mwaka jana na nilikutana nae mara kadhaa,tunapiga story na kupata drinks then ananirudisha home.
Sasa mwaka huu mwezi wa kwanza kuna rafiki yangu alikuwa anaolewa ikabidi nije dar kwenye harusi.Laa haula bwana harusi ni mr.Y!
Nilishukuru Mungu kuwa sikulala nae na wakati wa kwenda kutoa pongezi,nilipompa mkono akanitekenya nilishtuka kwa kweli nikamchek my friend akawa yuko tu busy kuwahug wageni waalikwa.Wakati wa dancing akanifata kudance na mimi akaniambia bado ananipenda halafu akanikonyeza!nilimshangaa sana.Na mpaka sasa najiuliza maswali mengi hivi wanaume wana matatizo gani?
Kwenye siku ya ndoa yako unamwambia mtu mwingine unampenda je ni sahihi?

ni sahihi mama
 
wee nae kama ulikuwa humpendi mbona uloendelea kuenda kunywa nae?? wewe na huyo wote hamja tulia.....
kuomba wala sio tatizo...mwanaume ana haki yakuomba utamu any time

niliönana nae kwa drinks mara kadhaa kama mara 3 au 4 baada ya siku ile.,kupata a drink na mtu ina maanisha hujatulia?ahsante kwa kunifahamisha.
 
Duuu yani nampa pole sana mke wake, au yeye anapenda kama kina fazaa kwa kutazama tu hafanyi mabaya.


Lakini aisay angemheshimu mke wake kidogo, yani hapo anamdhalilisha sana.

Kweli sisi wanaume sometimes, tunakosa akili hata yakufikiria.
 
acha usanii we mpaka unafunga safari kutoka huko mbande(joke) mpaka mjini kuja kwenye harusi bila hata kujua muhusika ni nani?ulikuwa unataka kuprove kama jamaa anaoa kweli ndo ukakutana na hiyo suprize,dont worry na we utaolewa tu
 
mwanamke lazima atongizwe bana sasa mwanamke gani hutongozwi??
alafu unajua unapotoka nae u r giving him hope wer the is none
kama humpendi mwanaume mwambie sikutaki basi hamna chat contact wala ujinga wakuenda kunywa nae. wee unaona ni drinks mwenzio anaona anafanya progress hapo
 
Nilikutana na huyu kaka mwaka 2007 kwenye harusi ya dada wa rafiki yangu.Huyu rafiki yangu ni kipenzi sana na amekuwa kama ndugu yangu,.
Hiyo harusi nakumbuka ukumbi ulikuwa ni pale msasani. Tulipotoka huyu mkaka nampa jina la Y akasema twende tukapate vinywaji sehemu nyingine na kweli tukatoka mimi,huyo rafiki yangu na yeye.,.
Aliniomba namba ya simu nikampa.
Kipindi hicho nilikuwa naishi upanga,akawa ananifatilia sana lakini sikumpenda kwa kweli kwa hiyo sikumkubali.
Alinifatilia mpaka mwaka jana na nilikutana nae mara kadhaa,tunapiga story na kupata drinks then ananirudisha home.
Sasa mwaka huu mwezi wa kwanza kuna rafiki yangu alikuwa anaolewa ikabidi nije dar kwenye harusi.Laa haula bwana harusi ni mr.Y!
Nilishukuru Mungu kuwa sikulala nae na wakati wa kwenda kutoa pongezi,nilipompa mkono akanitekenya nilishtuka kwa kweli nikamchek my friend akawa yuko tu busy kuwahug wageni waalikwa.Wakati wa dancing akanifata kudance na mimi akaniambia bado ananipenda halafu akanikonyeza!nilimshangaa sana.Na mpaka sasa najiuliza maswali mengi hivi wanaume wana matatizo gani?
Kwenye siku ya ndoa yako unamwambia mtu mwingine unampenda je ni sahihi?
Wanaume hatuna matatizo yoyote
 
Usijali utaendelea kushangaa mpaka siku ya mwisho wa dunia,ila wanaume wote hatupo hivyo!
 
niliönana nae kwa drinks mara kadhaa kama mara 3 au 4 baada ya siku ile.,kupata a drink na mtu ina maanisha hujatulia?ahsante kwa kunifahamisha.

kabakabana story yako mzuri bt inabidi mtu uisome btwn line.lini ulienda chuga ujasema since 07 till 2011 ulikuwa bado unawasiliana na usiyempenda hadi umesafir all the way from chuga.kwa mtazamo wangu alivyofanya mr y naona ni correct kwa sababu alikuona upo kama LOOSE BALL(asiye na mwelekeo) ndani ya 18 zake.m sure ukiendelea wasiliana nae 1day atakumega
 
Yes tupo sahihi,tena sana!!
Cha msingi kama kweli anakupenda,na wewe upo free,na kama bahati nzuri ww ni islamic,then mwambie apeleke posa ili akumiliki kihalali,kama hataki then achana nae bcoz lengo lake ni kukuchezea na kukutosa,mbona waowaji wapo wengi tuu dadaaa?

hoja yangu siyo kutaka ndoa,kwa kuwa nitaolewa tu,na sio na yeye coz simpendi kimapenzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom