Wanaume mmezidi vurugu

Ukiona unaombwa sana pesa na kila mwanaume basi jichunguze vizuri inawezekana huna unachovutia wanaume zaidi ya hicho.. Tena hata x wako anakupigia kukuambia shida yake ya pesa!! Badili tabia kama maongezi yako ni kuonesha sana uwezo wako wa kifedha unapokuwa karibu na vidume utakopwa sana tu
 
Nikimpata mwanamke ambae hapigi mizinga ambayo haina kichwa wala miguu ntampenda milele
 
Ulivyosema 'wanaume' utafikiri wanaume wote ni watu wa vizinga hemu jiheshimu kidogo binti
 
Mtu hajui kama nina kazi ama la. Hajui lolote juu yangu. Kakuona saa Tisa lakini saa kumi na moja kapiga simu ya shida lol...
 
Hayo mambo yenu binafsi na ving'asti wako...
 
Unakutana na vijana. Tafadhali tupe heshima yetu wanaume. Pole sana kwa yanayokusibu.
 
Nimekuelewa saana.. wanaume wa hivyo wapo tena wengi tu.

Wachane then keep distance. Nimekusoma kwenye hizo lines nimegundua wewe ni mwanamke unayejielewa saana. Ila usije ukaanza kusema nami nakusandia. Kacomment kangu mwisho wake hapa
 
Nimekuelewa saana.. wanaume wa hivyo wapo tena wengi tu.

Wachane then keep distance. Nimekusoma kwenye hizo lines nimegundua wewe ni mwanamke unayejielewa saana. Ila usije ukaanza kusema nami nakusandia. Kacomment kangu mwisho wake hapa
Hahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…