Wanaume mmewahi kukutana na hii hali?

Wanaume mmewahi kukutana na hii hali?

Status
Not open for further replies.
Kakutana na alieshiba, hakutuma nauli, kwenda kwake kamkokota kama likondoo, game katoa lakin bado tena analalamika hivi nyie wababa huwa mnataka nini 😂😂😂
Vice versa is true, tunataka kinyume cha hayo ili gemu inoge 😁
Huyo KE inawezekana hata hakai na dada yake.
 
Hii story yako Inafanana na ya uzi w Nakadori . Sasa umempa sababu kwa nini ulipiga kimoja cha uchovu😃



Njooni muunganishe matukio
Dejane
Kapeace
Half american
raraa reree
 
Hii story yako Inafanana na ya uzi w Nakadori . Sasa umempa sababu kwa nini ulipiga kimoja cha uchovu😃



Njooni muunganishe matukio
Dejane
Kapeace
Half american
raraa reree
Kwamba Nakadori hakutoa ushirikiano kama huyo KE aliezungumziwa kwenye bandiko?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom