David Kiyoya
Member
- Jun 1, 2017
- 39
- 11
Sawa,tunashukuru kwa ushauri wako,ila ujue wanaume ni double line.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]wapi umeona, mimi napenda portableLakini nimeona unapenda mabonge bhanaa
Na amezaa na mume wa mtu.Mama G halafu hujaolewa!
sasa umempataje huyo Fulani kama hujaolewaKwani ukiwa mama fulan ndio lazima uolewe?
Sema kijana wa mea2 SimiyuBasi huu uandishi unanipa wasi wasi maana nimezoea kukutana na ule wa kiputin zaid
Sijazaa na mme wa mtuNa amezaa na mume wa mtu.
HeheheehehMleta uzi mara hii umeshapigwa chini na sugar dadiii. Utalia sana mwaka huuu.
Imeandikwa wapi lazima uolewesasa umempataje huyo Fulani kama hujaolewa
Kwanini usituliesiwez kutulia,bado hujanishawishi Mama Sabrina
Mna viburiSawa,tunashukuru kwa ushauri wako,ila ujue wanaume ni double line.
Oooh kumbe kweli[emoji23] [emoji23] alipendwa na mume wa mtu akatiwa mimba na kutelekezwa, ndio maana ana hasira sana.
Unanichamba hadi wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sawa mkuu, ila umetusema mno tuliooa. Umesahau kuwasema wanaojipitisha kwa waume za watu wakiomba zawadi na misaada. Utasikia 'shemeji nina kiu!' ni rahisi tu nakukata kiu ili ukanikate kiu.Sijazaa na mme wa mtu
Aisee so hujuwi kuwa ngonoka bila ndoa ni dhambiImeandikwa wapi lazima uolewe
Kila kitu dhambi hapa dunianiAisee so hujuwi kuwa ngonoka bila ndoa ni dhambi
Eheheh ndio maana mapovu mengi mi nafulia tuSawa mkuu, ila umetusema mno tuliooa. Umesahau kuwasema wanaojipitisha kwa waume za watu wakiomba zawadi na misaada. Utasikia 'shemeji nina kiu!' ni rahisi tu nakukata kiu ili ukanikate kiu.
Sawa windo jemaKila kitu dhambi hapa duniani
Sawa karibuSawa windo jema