paka hotel
JF-Expert Member
- Feb 2, 2018
- 314
- 405
Hamna wanasema mwenye kisu kikali ndio anakula nyamaSawa lakin mnawaoneaa ambao hawajaoa
Hamna wanasema mwenye kisu kikali ndio anakula nyamaSawa lakin mnawaoneaa ambao hawajaoa
Hahaha hajawah nichosha aisee wala sio kumgawaa mwoga sana yaan nimeokota embe kwenye mwimba nyie watu nna raha zinaongezekaaa,kuumbwa mwanamke raha sanaHuyo G wako akikuchosha uje nikugawie Gudume naona majina yanafanana
Mm sinaga choyoooo na yy kasema hana choyoooo
Vifaaa tumepewa tuvitumie visije ota kutuuu
Omba huyo mme wa mtu aiswe bakhresa mbona balaaHabali ya masiku.
Unamuafiki huyu mama g?
Sawa mimi kuna mtu kisu anacho kikali mno hadi majambia anayoHamna wanasema mwenye kisu kikali ndio anakula nyama
Tena kote au hujaona paleSisi ndo tumeruhusiwa kumsumbua mama G ...
Yaaan sisi hatujaoa lkn tumepewa go ahead ya kumsumbua Mrs G[emoji4] [emoji4] very interesting mkuu.
We si umeona mods washapanga ndio kazi yaowe unashusha nondo tu eti, maparagraph sijui nn yatajipanga enyewe huko
Oky vizur sana wacha na mm nipambane na Gudume wangu maaan kifaa chake anakitumia sanaHahaha hajawah nichosha aisee wala sio kumgawaa mwoga sana yaan nimeokota embe kwenye mwimba nyie watu nna raha zinaongezekaaa,kuumbwa mwanamke raha sana
Ha ha ha ha hata Kama tumeoa mtupe nafasi banaSawa mimi kuna mtu kisu anacho kikali mno hadi majambia anayo
Ahahahaj pambana na hali yako mama kama bahili hakupi pesa kimbiaaaa,mwenzio huku hata siombi naonaga sms tu Africastkng hizo zinakujaOky vizur sana wacha na mm nipambane na Gudume wangu maaan kifaa chake anakitumia sana
Ashukuru snaga wivuuuu
Ridhikeni na wake zenuHa ha ha ha hata Kama tumeoa mtupe nafasi bana
Kuhusu pesaa wala sio jambo la kuuliza ni kama baba na mtoto wake wa kikeAhahahaj pambana na hali yako mama kama bahili hakupi pesa kimbiaaaa,mwenzio huku hata siombi naonaga sms tu Africastkng hizo zinakuja
Usije kuanza kunililiaaKuhusu pesaa wala sio jambo la kuuliza ni kama baba na mtoto wake wa kike
Tunachojali sisi ni game ya kimataifa kama Arsenal na Bac
Yan tunaangalia furaha zaidi na wala sio pesaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaaan Leo ndo umekua a "Lady" siku nyingine ulikua "demu".
Sasa sijui nimabadiliko uloyafanya baada yakua na G ??
Wanaume walooa wamekusikia.
Angekuwa ameolewa asingesema hayo alosema. Dinazarde hayo ni mapito! Mzee wangu alinihusia kuwa mwanamke akitikiza 25 hadi 30 hufikiria ndoa. Hivyo inaonesha hujavuka 30 na siyo dogodogo tenaNilifikiri umeolewa!
Mpaka hapa hilo sio la kuuliza mama kila kitu kipo mahali pakeUsije kuanza kunililiaa
Anatakiwa atoe bila kuombwa
Yale mauno atatoa
[emoji23] [emoji23] alipendwa na mume wa mtu akatiwa mimba na kutelekezwa, ndio maana ana hasira sana.Mama G halafu hujaolewa!
Lakini nimeona unapenda mabonge bhanaaHaya sasa nishushie vioo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mama G halafu hujaolewa!