Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,119
- 27,934
Kwahiyo yupo kama kisiwani vile siku akijua ndugu wote mtachukiwa, ila vibaya tuombe uzima sasa mambo yanharibika ndiyo maelezo yanaanza sasa mtoto si anakosa penzi la baba jamani? Bora ajue aumie yaishe mtoto awe huruIlitokea kwa housegirl wa uncle. Uncle katia mimba akabambikwa mtu flani ila Ukweli ni mtoto ni wa uncle na ukoo Wote unajua kasoro shangazi tu. Siku akijua yule mdada hapatakalika