Wanaume mapacha waamua kuoa wanawake mapacha kwa siku moja!!!!

Wanaume mapacha waamua kuoa wanawake mapacha kwa siku moja!!!!

Steven mushi mushi

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2016
Posts
533
Reaction score
741
ecced849ef741ebe15c49bc1d0d4b582.jpg
 
Ikitokea mtu anishawishi kuolewa na hadi nishawishike kuolewa basi muoaji awe mwanaume pacha ambaye wamezaliwa pacha 3 na pacha wenzake 2 wawe wa kike yeye ambaye ndo anishawishi kuniona awe wa kiume. Na wakati ananishawishi kunioa hao pacha wenzake 2 wawe walishaolewa na bado wako kwenye ndoa zao na wawe na watoto si chini ya 3 kila mmoja.

Hapo ndo ntasema YES... I DO.... I WILL MARRY YOU.....

Vinginevyo..... I enjoy being senior single granny.

Kasie.
 
Ikitokea mtu anishawishi kuolewa na hadi nishawishike kuolewa basi muoaji awe mwanaume pacha ambaye wamezaliwa pacha 3 na pacha wenzake 2 wawe wa kike yeye ambaye ndo anishawishi kuniona awe wa kiume. Na wakati ananishawishi kunioa hao pacha wenzake 2 wawe walishaolewa na bado wako kwenye ndoa zao na wawe na watoto si chini ya 3 kila mmoja.

Hapo ndo ntasema YES... I DO.... I WILL MARRY YOU.....

Vinginevyo..... I enjoy being senior single granny.

Kasie.
Aiseeee
 
Ikitokea mtu anishawishi kuolewa na hadi nishawishike kuolewa basi muoaji awe mwanaume pacha ambaye wamezaliwa pacha 3 na pacha wenzake 2 wawe wa kike yeye ambaye ndo anishawishi kuniona awe wa kiume. Na wakati ananishawishi kunioa hao pacha wenzake 2 wawe walishaolewa na bado wako kwenye ndoa zao na wawe na watoto si chini ya 3 kila mmoja.

Hapo ndo ntasema YES... I DO.... I WILL MARRY YOU.....

Vinginevyo..... I enjoy being senior single granny.

Kasie.
kumbe wewe ni she.
 
Ikitokea mtu anishawishi kuolewa na hadi nishawishike kuolewa basi muoaji awe mwanaume pacha ambaye wamezaliwa pacha 3 na pacha wenzake 2 wawe wa kike yeye ambaye ndo anishawishi kuniona awe wa kiume. Na wakati ananishawishi kunioa hao pacha wenzake 2 wawe walishaolewa na bado wako kwenye ndoa zao na wawe na watoto si chini ya 3 kila mmoja.

Hapo ndo ntasema YES... I DO.... I WILL MARRY YOU.....

Vinginevyo..... I enjoy being senior single granny.

Kasie.
hautaki kutawaliwa.
 
Ikitokea mtu anishawishi kuolewa na hadi nishawishike kuolewa basi muoaji awe mwanaume pacha ambaye wamezaliwa pacha 3 na pacha wenzake 2 wawe wa kike yeye ambaye ndo anishawishi kuniona awe wa kiume. Na wakati ananishawishi kunioa hao pacha wenzake 2 wawe walishaolewa na bado wako kwenye ndoa zao na wawe na watoto si chini ya 3 kila mmoja.

Hapo ndo ntasema YES... I DO.... I WILL MARRY YOU.....

Vinginevyo..... I enjoy being senior single granny.

Kasie.
Kwanini,umeamua hivyo!?Ebu tushirikishe hekima na busara zako!?
 
huo nimtizamo 2 wakila m2 anavyopangiria mambo yke ww ujawai kuona m2 anajenga nyumba yke hila anakosorewa?
 
Back
Top Bottom