Wanaume mamwinyi

Tatizo Lenu Mkisaidiwa Leo Kutandika Kitanda Kesho Utaacha Makusudi Kesho Kutwa Utasema Naomba Nisaidie Kumuogesha Mtoto Nikimuogesha Mara Mbili Tatu Kuna Siku Utasema Mtoto Hajaoga Tu? Nikizoea Kumuogesha Utasema Na Hizo Nguo Mbili Za Mtoto Nifulie Povu Moja ,nikifua Utasema Sasa Hilo Povu Unamwaga Bure C Ufue Hata Zile Nguo Zako Apo Ndo M/ume Umeshaingizwa Kwenye Kaz Za Nyumban Kuna Cku Atakwambia Nimechoka Nisaidie Kupka Ukifanya Hvo Kuna Siku Atachelewa Kulud Akijua We Utapka Ucpo Pika Atakuuliza Yan Hujapika Tu,,, WITO KWA WANAUME WOTE USIMSAIDIE CHOCHOTE WF WAKO
 
Hahaaaa my dear wanaume wengi wako hivyo.Niko nacheka tu hapa my husband sio kihivyo saana coz smtms he can cook for us.but huwa anatabia akivua soksi usipoziwahi utakuta ingine chini ya kochi ingine nje na kabati la nguo kila siku napanga maana akitafuta kitu utakuta kapangua kila kitu kipo chini hahaaa.hawa watu ni kwenda nao tu taratibu.ukiona sehemu pana shida paweke tu vizuri haigarimu chochote. Mfano kama soksi mimi nikizifuaga nazifunga kila pair pamoja natenga soksi sehemu yake.na usiku namtengea nguo za kuvaa asubuhi kazini au kanisani kuepuka asivuruge nguo zote..simple tu ukimtengea chakula muwemekee kila kitu mezani.inakuwa rahisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe kama una mind vitu hivyo kuolewa hutaweza.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umemaliza kila Kitu.
Wakisaidiwa huwa wanageuza Kama wajibu na wakati mwingine wanauliza kabisa, hujafanya Hiki??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo sii umwinyi ni majukumu tu hajayazoea maana Kabla alikua anapikia papo hapo na kulala papo hapo kwa hiyo hizo route mpya hajazizoea

sent from my Tecno W3
 
Ila na nyie wanawake mmezidi malalamiko khaaaaa
 
ushaingia geto la mwanaume ukaona mpangilio wake?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…