Wanaume kuweni na huruma kidogo

Wanaume kuweni na huruma kidogo

Hakuna mwanamke mwenye Chura kubwa ambaye anaolewa, yan ni wachache sana... Hatutaki kuweka ndani mwanamke atakae kupa presha...chura ya kawaida tu inatosha ambayo ukivaa chupi kalio lina enea

Izo Chura kubwa uishiwa kuchezewa tuu
 
Kinachoniuma zaid kuna mtu alimuacha mke wake kisa kapata mwanamke mwngne mwenye msambwanda na alitamka hadharan kabsa sababu ya kumuacha mkewe kua hana tako hvyo hawez shika mifupa, aiseee nkiikumbuka ile cku hua inaniuma sn na yule mama mpk alipata bp maskn, wanaume wabaya kwenye misambwanda mnachanganyikiwa kabsaa
msitulaumu bure huo ndo udhaifu wetu na nyie wanawake mkishajua tunataka nini mue mnajiongeza basi ...tumieni hata ya mchina vaeni hata spongi hata kama tutakuja kujua mna makalio feki tutawavumilia tu maana hakuna namna
 
Back
Top Bottom