Hahahahajiamini flat inaraha yake mkuu mi natembega najitikisa mgongo na wananihonga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]jiamini flat inaraha yake mkuu mi natembega najitikisa mgongo na wananihonga
Wanaume tulio wengi tunapenda sana misambwanda kwa kuangalia tu(kusafisha macho) na kuitumia ikiwa nje lakini pia ni wanaume wanopenda kuoa wanawake wenye misambwanda mikubwa kwa kuogopa kuchapiwa[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Habari wanajukwaa, polen na majukum.
Niende moja kwa moja mwenye topic,.
N kuhusu wanaume wa siku hz kupenda wanawake wenye misambwanda mikubwa kiukweli sisi ambao hatuna misambwanda tunaumia sn, kwan hao wenye misambwanda mikubwa wana tofauti gan na sisi wenye misambwanda midogo? Utakuta upo na mumeo ila akiona tu msambwanda mkubwa umepita lazma ageuke na anabadilika kabsa sura cjui anakua anapata hisia gan sijui, yaan mnatufanya mpk tunaanza kujiingiza kwenye kuanza kuyabust mwisho wa cku tunaishia kutumiwa bila kuwekwa ndan na michina yetu. Huu si uungwana kabsa hebu badiliken wanaume
tako lina kazi gani?mwanamke tako tabia peleka ukweni
Mmmh yangu macho sasa mgongo ulivyokuwa mgumujiamini flat inaraha yake mkuu mi natembega najitikisa mgongo na wananihonga
lingekuwa halina kazi wenzio wasingelalamikatako lina kazi gani?
Ha ha ha pambana tu na hali yako mkuuNataman kila cku msambwanda ila Mungu hajanijaalia inabd tu niridhike ntafanyaje
Mimi wala simvunji moyo, nimemwambia kabisa jamaa akibwaga manyanga kisa mkia niko hapa namsubiri[emoji12] [emoji12]Hahahhahaa nyie si mnamvunja moyo
mbona mimi ninaoa hata sitongozwi?
We utakua nao wew sema unatafta wa kukutongoza umu,...bwihihiNataman kila cku msambwanda ila Mungu hajanijaalia inabd tu niridhike ntafanyaje
[emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana, ndio asili yetu kutamani neema za uumbaji...Kwa hiyo usife moyo, ridhika na ulichonacho na usijaribu kwenda kuboost utaishia kupata madhara bure!!!