Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,164
- 6,552
Jiamini tu. Ndo maana MUNGU alituumba tofautitofauti.
Alikuwa na maana yake dear
Alikuwa na maana yake dear
Lia na MUNGU wakoHabari wanajukwaa, polen na majukum.
Niende moja kwa moja mwenye topic,.
N kuhusu wanaume wa siku hz kupenda wanawake wenye misambwanda mikubwa kiukweli sisi ambao hatuna misambwanda tunaumia sn, kwan hao wenye misambwanda mikubwa wana tofauti gan na sisi wenye misambwanda midogo? Utakuta upo na mumeo ila akiona tu msambwanda mkubwa umepita lazma ageuke na anabadilika kabsa sura cjui anakua anapata hisia gan sijui, yaan mnatufanya mpk tunaanza kujiingiza kwenye kuanza kuyabust mwisho wa cku tunaishia kutumiwa bila kuwekwa ndan na michina yetu. Huu si uungwana kabsa hebu badiliken wanaume
hahahahaamwanamke tako tabia peleka ukweni
Habari wanajukwaa, polen na majukum.
Niende moja kwa moja mwenye topic,.
N kuhusu wanaume wa siku hz kupenda wanawake wenye misambwanda mikubwa kiukweli sisi ambao hatuna misambwanda tunaumia sn, kwan hao wenye misambwanda mikubwa wana tofauti gan na sisi wenye misambwanda midogo? Utakuta upo na mumeo ila akiona tu msambwanda mkubwa umepita lazma ageuke na anabadilika kabsa sura cjui anakua anapata hisia gan sijui, yaan mnatufanya mpk tunaanza kujiingiza kwenye kuanza kuyabust mwisho wa cku tunaishia kutumiwa bila kuwekwa ndan na michina yetu. Huu si uungwana kabsa hebu badiliken wanaume
[emoji12]
Kuna animation ambayo ipo kwa sasa kwenye huu uzi inaonekana kwenye servar imenileta humu
Ha ha kafanyaje?masikini!
Wapo tunaopenda vipotabo ww, huyo mumeoa naye anasafisha macho tu maana sometime bata zinavutia. Chipsi zinavutia barabarani tu lakini nyumbani twapika zaidi ubwabwa japo viazi sokoni vipo. Usihofu ni fahari ya macho tu.Habari wanajukwaa, polen na majukum.
Niende moja kwa moja mwenye topic,.
N kuhusu wanaume wa siku hz kupenda wanawake wenye misambwanda mikubwa kiukweli sisi ambao hatuna misambwanda tunaumia sn, kwan hao wenye misambwanda mikubwa wana tofauti gan na sisi wenye misambwanda midogo? Utakuta upo na mumeo ila akiona tu msambwanda mkubwa umepita lazma ageuke na anabadilika kabsa sura cjui anakua anapata hisia gan sijui, yaan mnatufanya mpk tunaanza kujiingiza kwenye kuanza kuyabust mwisho wa cku tunaishia kutumiwa bila kuwekwa ndan na michina yetu. Huu si uungwana kabsa hebu badiliken wanaume
Inatutesa lakini sio makusudihizi vita jmn
ha ha ha miss chaga we kiboko.. eti natembeaga najitikisa mgongo...jiamini flat inaraha yake mkuu mi natembega najitikisa mgongo na wananihonga
#Be the Joseverest to comment#Pole sana, ndio asili yetu kutamani neema za uumbaji...Kwa hiyo usife moyo, ridhika na ulichonacho na usijaribu kwenda kuboost utaishia kupata madhara bure!!!
mwendo wa madelajiamini flat inaraha yake mkuu mi natembega najitikisa mgongo na wananihonga
Sidhani kwamba ndo upendo huomkuu na mengine mengi
Mm napendaga hao flat, njoo inbox tuongee tutaonanajeHabari wanajukwaa, polen na majukum.
Niende moja kwa moja mwenye topic,.
N kuhusu wanaume wa siku hz kupenda wanawake wenye misambwanda mikubwa kiukweli sisi ambao hatuna misambwanda tunaumia sn, kwan hao wenye misambwanda mikubwa wana tofauti gan na sisi wenye misambwanda midogo? Utakuta upo na mumeo ila akiona tu msambwanda mkubwa umepita lazma ageuke na anabadilika kabsa sura cjui anakua anapata hisia gan sijui, yaan mnatufanya mpk tunaanza kujiingiza kwenye kuanza kuyabust mwisho wa cku tunaishia kutumiwa bila kuwekwa ndan na michina yetu. Huu si uungwana kabsa hebu badiliken wanaume
Hahahahaha nshawekwa ndan mkuu ila tabia yake ya kuangalia misambwanda ndio siitakMm napenda
Mm napendaga hao flat, njoo inbox tuongee tutaonanaje