Wanaume kuwa na tabia za kike

Wanaume kuwa na tabia za kike

Miss Jay

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2013
Posts
211
Reaction score
174
Habari wana jukwaa,

Hivi hii tabia ya mwanaume kufanya mambo ya kike kama kucheka kimbea na kupenda kujisheua sheua kama mwanamke inakuwa ni hulka au mtu anakuwa na hormone za kike?Maana huwa nashindwa kuwaelewa watu wa hivyo.
 
Mi nina uhakika ni mwanamke ila sina hizo tabia. Kwa hiyo wanaume na wanawake wenye hizo tabia wana hormone za tabia mbaya tu za kucheka kimbea na kujisheua sheua ingawa sijui kujisheua ndo kufanyaje. Kama huwaelewi ni kwa sababu hamuishi wala hamjakulia ulimwengu unaofanana kwa hiyo waache tu na mambo yao.
 
Habari wana jukwaa,,hivi hii tabia ya mwanaume kufanya mambo ya kike kama kucheka kimbea na kupenda kujisheua sheua kama mwanamke inakuwa ni hulka au mtu anakuwa na hormone za kike?maana huwa nashindwa kuwaelewa watu wa hivyo

Angekua na hela ungeyakumbuka hayo?
 
Ni tabia ya mwanaume kupenda kutenga kukaa na wanawake mda mwingi sana na kuamua kuwapa nafas kubwa akilini mwao.
 
Habari wana jukwaa,

Hivi hii tabia ya mwanaume kufanya mambo ya kike kama kucheka kimbea na kupenda kujisheua sheua kama mwanamke inakuwa ni hulka au mtu anakuwa na hormone za kike?Maana huwa nashindwa kuwaelewa watu wa hivyo.
Samahani kwanza !!
Ni baadhi ya asilimia ndogo sana!! Hulka hiyo ni kwa wale hujikaribisha kuwa ubavuni mwa wanawake!! (mcheshi wao) !!
 
nami nauliza ni kwanini wanawake mnapenda urafiki na watu design hiyo, i. e mashoga
 
Kama yule mtangazaji wa TV 1 (the clip)

haswaaaaa umenena,kumbe wewe ndo umenielewa nlichomaanisha,,sasa bora yule anafanya comedy analipwa sasa kuna mwingine mtaani huku ni balaa aisee hadi anakera maana akiachia kile kicheko cha haloooooooo hadi mtaa wa kumi wanasikia
 
hilo ni tatizo la kupungua na kuongezeka kwa hormones
 
Habari wana jukwaa,

Hivi hii tabia ya mwanaume kufanya mambo ya kike kama kucheka kimbea na kupenda kujisheua sheua kama mwanamke inakuwa ni hulka au mtu anakuwa na hormone za kike?Maana huwa nashindwa kuwaelewa watu wa hivyo.

Hao ni wanaelekea kuwa was'eng e na inakera sana mwanaume kujichekelesha na kuwa na tabia za kimbea mbea na kishoga.
 
Back
Top Bottom