Wanaume kuwa na tabia za kike

Wanaume kuwa na tabia za kike

haswaaaaa umenena,kumbe wewe ndo umenielewa nlichomaanisha,,sasa bora yule anafanya comedy analipwa sasa kuna mwingine mtaani huku ni balaa aisee hadi anakera maana akiachia kile kicheko cha haloooooooo hadi mtaa wa kumi wanasikia

Huyo anatakiwa atolewe mahari aolewe...tabia za kike hizo.
 
Mi nina uhakika ni mwanamke ila sina hizo tabia. Kwa hiyo wanaume na wanawake wenye hizo tabia wana hormone za tabia mbaya tu za kucheka kimbea na kujisheua sheua ingawa sijui kujisheua ndo kufanyaje. Kama huwaelewi ni kwa sababu hamuishi wala hamjakulia ulimwengu unaofanana kwa hiyo waache tu na mambo yao.

kwa uelewa wangu cjawah kutana na hormon za tabia mbya znazohuciana na kuchekacheka kimbeya wala kujisheuasheua,eb nsaidie labd znazalishwa na tezi gan?
 
kwa uelewa wangu cjawah kutana na hormon za tabia mbya znazohuciana na kuchekacheka kimbeya wala kujisheuasheua,eb nsaidie labd znazalishwa na tezi gan?
kwa kuelewa huo huo elewa hivyo hivyo hapa hapa. usitoe uelewa huo nje ya hii thread.
 
Habari wana jukwaa,

Hivi hii tabia ya mwanaume kufanya mambo ya kike kama kucheka kimbea na kupenda kujisheua sheua kama mwanamke inakuwa ni hulka au mtu anakuwa na hormone za kike?Maana huwa nashindwa kuwaelewa watu wa hivyo.
holygrail ni mmojawapo
 
Last edited by a moderator:
kwa kuelewa huo huo elewa hivyo hivyo hapa hapa. usitoe uelewa huo nje ya hii thread.

sawa lkn czani kama hiyo hormoni ya kusheua sheua ipo? maybe mazingira ya m2 aliyokulia,all his life style mana tabia hujengwa na mazngra
 
Wanakera sio kidogo. Sema mwanamke mwenye michongo ya kiume,raha sana sometimes maana hawanaga men wa kudumu,ukiwa best ake anaweza akakupa.

Nakumbuka kuna mmoja alimpigiaga simu mshkaji flan wakat tupo maskani miaka hiyo akamwambia "Nakupigia simu inaiita,unaringa kisa umejua nna nyeg*,njoo basi unipe stimu"
 
Mwanaume mwenye tabia za kike anaitwa SHOGA, na sifa za shoga nadhani unazifahamu. Kwa hiyo usishangae waelewe hivyo.

Asante.
 
nakumbuka kuna kajamaa kangu tulisomanako o level kalikuwa na katabia ako yaan mikono anaweka kama mtot wa kike hata mdomo ongea yake yaan.. dah aisee alkuwa bado kidgo tu kukamilishwa uumbaji wa mungu wa kutofolewa kwenye kitundu cha kinyesi
 
Hivi sifa za ajabu ajabu ndio huwa tunajipa wanawake! Eti mwanaume akiwa na tabia za ajabu ajabu basi ataambiwa ana tabia za kike!! Kwahiyo wanawake ndio wanaruhusiwa kuwa wambea wambea na kucheka vicheko vya ajabu ajabu? I thot mwanamke haiba, kumbe i was wrong.
 
Dada kusema kweli mi NAKUPENDAGA sana ila naona aibu kukuambia watu humu ndani watanicheka,Naomba ushauri wako nifanyeje ili niweze kuwa na uhusiona wa faragha na wewe?
mimi nakuonea huruma kama utakuwa huna hela nitakutesa bure .. any way nitakutafuta
 
Back
Top Bottom