hahahahahaahHadi nimecheka kwa sauti. Kumbe na wewe mchokozi saa zingine.
hahahahahaahHadi nimecheka kwa sauti. Kumbe na wewe mchokozi saa zingine.
dawa kuwachuna tu
Namzungushaakikuomba papuchi je??
Hahahaaa! Ila kazi ipo mana kuwabadilisha sio rahisi
hhahaha ila limemka vizuri kama hana kipara vileMjini kuna mambo kaka yangu. Nyie wanaume mnaanza kutuchekesha sasa
Kwa kweliWanaume wa "mji wa Daudi" hao..
Njoo unichukuenyoa zungu wewe ,, ila me napenda wanaume wenye upara na hela
ha ha haha nakujaNjoo unichukue
Duh! Mimi ndo kwanza naisikia leo hii kitu.View attachment 478475 View attachment 478479
Hii fashion imeingia dar sasa hususan wilaya ya kinondoni na maeneo flani ya ushuani.
Hata mm,Duh! Mimi ndo kwanza naisikia leo hii kitu.
Na ni kweli....kuna kitu ambacho kinatengenezeka nyuma ya pazia kupitia haya madudu...ipo siku hiko kitu kitajiweka wazi na hapana mtu wa kukipinga maana kitakuwa kimeshaota mizizi ya kutosha.Hata mm,
Lakini sishangai si hata sketi wanavaa siku hizi kama anavyowaongoza mwanabongo fleva wao wakwanza,
Ila hawa tayari ni watu fulani ila wanatafuta ujanja wa kuhalalisha mambo yao tu polepole,