Godwin Mneng'ene
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 215
- 84
Jamani naomba kusaidiwa.
Nataka kufahamu kwa nini pete za uchumba anayevalishwa ni mwanamke tu
wanaume hapana, lakini za ndoa wanavalishana wote.
Alamsiki
Nataka kufahamu kwa nini pete za uchumba anayevalishwa ni mwanamke tu
wanaume hapana, lakini za ndoa wanavalishana wote.
Alamsiki