Wanaume kuna ukweli kuhusu hili?

Wanaume kuna ukweli kuhusu hili?

...
Utampenda mtu ambae anampenda adui yako??

nikupe mfano. Mama ni malaya na baba anamchukia mama kwasbb ni malaya. Lakini mtoto wake anampenda sana mama kuliko baba na anamsikiliza sana mama. Unafkr baba atampenda mtoto.... itokee bahati mbaya mtoto akutwe kasimama na mwanaume... baba atajua mafundisho ya mama yameanza kufanya kazi.

Kataa kubali ila ukwel ndo huo.

Wanaume wengi akiona mwanamke haelewek huwa wanataka kuondoka na watoto wao na mama akae mbali ili asiwavuruge watoto.
Ngoja nicheke
 
Aise usiombe yakukute unaweza ukampenda na akakuona boya tu!
Tena hawa msingi kiuno na ameumbwa na shepu kidogo,
Hakawii kukuambia na hicho kibamia unaweza kunipa mimba?
Alafu huyohuyo kesho anataka matumizi.
Ahahahahaah!una ki lemutuz??
 
Sawa kabisa, yaani sababu huwa ni wanawake wenyewe na ukichunguza utakuta huyo mwanamke kalelewa na mama tu!
Ile heshima kwa mwanaume inakuwa hamna ukija kwenye majibu mbona utatamani kuhama nyumba uliyojenga.
Source n wewe mwenyewe,jichunguze!
 
Back
Top Bottom