Wanaume kuna ukweli kuhusu hili?

Wanaume kuna ukweli kuhusu hili?

Kama nimekuchukia kwa umalaya unafikiri nitakuwa na hamu ya huyo mtoto?
Mtoto mwenyewe unaniambia amefanana na bibi yako unategemea nini!
Aiseee mkuu unaonekana umeguswa,pole ila mtoto sio lazima afanane na wazazi kila kitu anaeza chukua baadhi ya vitu kwa wazazi na vingine akajitegemea pia kumchukia sio suluhisho,nina mashaka na uelewa wako kwa ulichoandika ila ndo hivyo mtoto sio lazima mtoto ufanane nae ndo ujidhihirishe kuwa ni wako hata mke na mume wakikaa pamoja mda mrefu hufanana..
 
Mwanaume anamchukia mtoto pale ambapo mtoto ataonesha kumpenda na kuwa karibu na mama yake. Kwaivyo mtoto yeyote ambaye yupo karbu na mama ambae baba anamchukia lazima na mtoto achukiwe na baba.
Si kweli
 
Inategemeana

Unaweza kumchukia mwanao lakini ukampenda mtoto wake.

Unaweza kumpenda mwanao na ukamchukia mtoto wake.

Unaweza kuwachukia wote.

Unaweza kuwapenda wote.

Kutokana na sababu husika.

hueleweki jamani sijui ni hii sikukuuu
 
Kama nimekuchukia kwa umalaya unafikiri nitakuwa na hamu ya huyo mtoto?
Mtoto mwenyewe unaniambia amefanana na bibi yako unategemea nini!
Basi nawe Malaya tu maana usingekua hvo usingedate na Malaya had kuruhusu preg inase,af issue ya mfanano mtto anaeza fanana na yeyote coz kila mtu na vile anafananisha,mwngne anaeza sema kafanana na mom ake mwngne akasema no hajafanana nae....so uhakika n DNA only hapa kuna za kimila n hosp hizo ndo znaumbuaa mtu,but n upuuz tu kuchukia mtoto na usitegemee yeye kuja kukupenda atakuchukia pia.
 
Inategemea na sababu zinazokufanya umchukie.. Kama ni usaliti unaweza mchukia hadi mtoto .. Ukihofia huenda sio wako .
 
Mwanaume anamchukia mtoto pale ambapo mtoto ataonesha kumpenda na kuwa karibu na mama yake. Kwaivyo mtoto yeyote ambaye yupo karbu na mama ambae baba anamchukia lazima na mtoto achukiwe na baba.
Sio kweli
 
Back
Top Bottom