Jiwedogo
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 2,811
- 4,098
Sio kweliHabari waungwana
wanaume hivi ni Kweli kuwa ukimchukia mama WA mwanao lazima umchukie na mwanao pia??
Sio kweliHabari waungwana
wanaume hivi ni Kweli kuwa ukimchukia mama WA mwanao lazima umchukie na mwanao pia??
Ttz hawatazaaLesbians.....
Watanunua mbegu....Ttz hawatazaa
Na,skuhz mahospitalWatanunua mbegu....
Ndo wAzungu wanavyofanya hivyo....Na,skuhz mahospital
Znaiuzwa kama njugu
Si kweli
...Nimekusoma, basi midaPoa kabisa.
Kama kawaida yetu karibu kwenye kijiwe chetu cha popoz ndio stori zitanoga zaidi, hapa tusiharibu mijadala ya kawaida
Hapana ..Mimi naamin sana ktk watoto , ila mama wamtoto akizengua ,Naweza kumchukia mpaka akajuta kwann alizaa namm.Habari waungwana
wanaume hivi ni Kweli kuwa ukimchukia mama WA mwanao lazima umchukie na mwanao pia??
SawaNimekusoma, basi mida
Missing you PutinHapana ..Mimi naamin sana ktk watoto , ila mama wamtoto akizengua ,Naweza kumchukia mpaka akajuta kwann alizaa namm.
maoni yangu natupia lawama kwa wanaume wasiojielewaNini maoni yako juu ya hii mada?
Thank you so much LuminosityMissing you Putin
,I miss you A Little , A little too much , a little too often and a little more each day !!.Ni mambo ambayo uswahilin yapo sana,Aiseee mkuu unaonekana umeguswa,pole ila mtoto sio lazima afanane na wazazi kila kitu anaeza chukua baadhi ya vitu kwa wazazi na vingine akajitegemea pia kumchukia sio suluhisho,nina mashaka na uelewa wako kwa ulichoandika ila ndo hivyo mtoto sio lazima mtoto ufanane nae ndo ujidhihirishe kuwa ni wako hata mke na mume wakikaa pamoja mda mrefu hufanana..
Nyie wanawake ndiyo huwa mnasababisha sana haya mambo kutokea kwa umalaya na majibu yenu ya kishujaa!Basi nawe Malaya tu maana usingekua hvo usingedate na Malaya had kuruhusu preg inase,af issue ya mfanano mtto anaeza fanana na yeyote coz kila mtu na vile anafananisha,mwngne anaeza sema kafanana na mom ake mwngne akasema no hajafanana nae....so uhakika n DNA only hapa kuna za kimila n hosp hizo ndo znaumbuaa mtu,but n upuuz tu kuchukia mtoto na usitegemee yeye kuja kukupenda atakuchukia pia.
Na mwanamke anaye jielewa hawezi kufanya mambo yatakayopelekea mwanaume kutokuwa na hamu na mtoto.Mwanaume unaejitambua huwez
Ukamchukia mtoto wako
Unaichukiaje dam yako Kwa mfano
Ukiwa mwanaume unaejielewa