Wanaume kuna ukweli kuhusu hili?

Wanaume kuna ukweli kuhusu hili?

Inategemea na sababu zinazokufanya umchukie.. Kama ni usaliti unaweza mchukua hadi mtoto .. Ukihofia huenda sio wako .
Sawa kabisa, yaani sababu huwa ni wanawake wenyewe na ukichunguza utakuta huyo mwanamke kalelewa na mama tu!
Ile heshima kwa mwanaume inakuwa hamna ukija kwenye majibu mbona utatamani kuhama nyumba uliyojenga.
 
Imeandikwa *Ewe mwanamme mpende mke wako naye Atakuheshimu*.

Usipompenda usitegemee heshima
Aise usiombe yakukute unaweza ukampenda na akakuona boya tu!
Tena hawa msingi kiuno na ameumbwa na shepu kidogo,
Hakawii kukuambia na hicho kibamia unaweza kunipa mimba?
Alafu huyohuyo kesho anataka matumizi.
 
Habari waungwana
wanaume hivi ni Kweli kuwa ukimchukia mama WA mwanao lazima umchukie na mwanao pia??
sijamchukia mama yeyote wa watoto wangu lakini nahisi "wanaume wanaweza kufanya hivyo kama either walishawahi kuwa cheated na mtoto huyo hawana uhakika kama wa kwake au la"...ila kama unaona kabisa mtoto umefanana naye una uhakika huo, damu ni nzito kuliko maji hata kama mwanaume hamjui Mungu kabisa naamini sio rahisi kumchukia mtoto.

maisha yangu enzi za misri nilipata watoto nje, mama yao mmoja aliisambaratisha ndoa yangu hadi Mungu akaingilia kati, zamani hizo nilimchukia sana huyo mwanamke lakini nilikuja kumsamehe kabisa toka moyoni baada ya kumjua Mungu, na hadi sasaivi juzi nimetoka kumlipia ada ya shule mtoto wangu nampenda kama watoto wangu weninge wote ninaoishi nao. hivyo, inategemea.
 
Aise usiombe yakukute unaweza ukampenda na akakuona boya tu!
Tena hawa msingi kiuno na ameumbwa na shepu kidogo,
Hakawii kukuambia na hicho kibamia unaweza kunipa mimba?
Alafu huyohuyo kesho anataka matumizi.
Sio kila mwanamke anastahili mapenzi yako ,,ndio maana wakasema mvuvi humjua mvuvi mwenzake hata km mtumbwi upo mbali.

Mtu km lemtuz ,, sababu yakutojua mwanamke yupo anamfaa ,matokeo yake ndo hayo yalompata !!!.....kuna wanawake ni Shits sana ,wanamaisha fulan ivi ya kisela sela ,,huyo ukiwa naye atakutukana tu siku akijisikia kufanya ivo.

Ila sure ,, Ukimpenda mwanamke atakuheshimu sana.

Swali nijee ,Nikivipi naweza kumpenda ???.
 
Sio kila mwanamke anastahili mapenzi yako ,,ndio maana wakasema mvuvi humjua mvuvi mwenzake hata km mtumbwi upo mbali.

Mtu km lemtuz ,, sababu yakutojua mwanamke yupo anamfaa ,matokeo yake ndo hayo yalompata !!!.....kuna wanawake ni Shits sana ,wanamaisha fulan ivi ya kisela sela ,,huyo ukiwa naye atakutukana tu siku akijisikia kufanya ivo.

Ila sure ,, Ukimpenda mwanamke atakuheshimu sana.

Swali nijee ,Nikivipi naweza kumpenda ???.
Hapo kwenye kupenda ukiuvaa mkenge ukawii kulima mtu na jembe bure!
 
Na ndo kinachoendelea skuhiz
Kwa kina dada wanachotaka n mtoto
Tu wakipata mtoto bhas
Tena hivi vyenye certificate na vi-diploma acha kabisa! Ukikute kina ajira usiombe kikianza nyodo Na majibu ya hovyo kisa boss amekitaka.
 
Tena hivi vyenye certificate na vi-diploma acha kabisa! Ukikute kina ajira usiombe kikianza nyodo Na majibu ya hovyo kisa boss amekitaka.
Hee hee hao ndo kabsa mm hua hata
Nawapitaga mbali kama siwaon
Hata Salam hua swap maana
Vnajishauwaga sana

Na Hawa dawa yao n kufunua
Na kufunika tu imetoka
 
Hahahaaa just love her Mkuu!! sijui nikwann ,ila mie bado ninaamin sana km True love bado IPO.
Kuwepo zipo ila mpaka ikae sawa huwa kuna mengi yanapita,
Unajuwa mara nyingi sura na vi-shepu vyao ndivyo vinafanya tunauvaa mkenge na siku hizi wana lesen ya gari wakisubiri mnunuzi au wakujazia hela, na ukitaka kumtibua wewe taka kuandika jina lako hata kama hela ya gari umetoa wewe.
 
Kuwepo zipo ila mpaka ikae sawa huwa kuna mengi yanapita,
Unajuwa mara nyingi sura na vi-shepu vyao ndivyo vinafanya tunauvaa mkenge na siku hizi wana lesen ya gari wakisubiri mnunuzi au wakujazia hela, na ukitaka kumtibua wewe taka kuandika jina lako hata kama hela ya gari umetoa wewe.
Mkuu nirahisi sana , ujue ukishakaa mwanamke miezi miwili mitatu automatically utakua tayar umeshamsoma Moyo wake ,tayar umeshajua huyu anastahili umuishi vipi ..

Kweli ,ikiwa utaingia nahesabu umezikosea ,Amin amin nakuambia Usimcheke Lemtuz ungali bado Hai.
 
Back
Top Bottom