Wanaume!!: kuna ukweli hapa?

Wanaume!!: kuna ukweli hapa?

Sijawahi kujua mwanamke/msichana mwenye mvuto ni mwanamke ama msichana wa aina gani.
Ingawa ninatambua kwamba mvuto wa mwanamke ama msichana hutoka kwenye chachu ya mtazamo ama jicho la mwanaume
Ila kuna wanawake wazuri bna tuseme ukweli.
 
Sijawahi kujua mwanamke/msichana mwenye mvuto ni mwanamke ama msichana wa aina gani.
Ingawa ninatambua kwamba mvuto wa mwanamke ama msichana hutoka kwenye chachu ya mtazamo ama jicho la mwanaume

Kaka Ushimen, tumuulize [USER] Behaviourist[/USER]
 
Huyu chalii anakuja kutuabisha watu wa kaskazini aise anataka kufanya wanaume wa kaskazin tuonekane kama wa dar
 
Mwanamke mwenye hlo umbo hutegemea na kuamini mwili wake kumuongoza kuliko akili..

Mwanamke anaejiona yy ni mzuri ata asomeshweje bado akili yake itauamini mwili wake kuliko alichosomea!
Sio wote lakini.
 
Halafu shetani anamchora tu. Miaka mitatu mingi atakuja kulia lia hapo hapo,machizi wakishaanza kumgongea huyo demu wake anaemuanika anika. Nakuambia lazima wahuni wambutue huyo demu wake,si amemtangaza
 
Halafu shetani anamchora tu. Miaka mitatu mingi atakuja kulia lia hapo hapo,machizi wakishaanza kumgongea huyo demu wake anaemuanika anika. Nakuambia lazima wahuni wambutue huyo demu wake,si amemtangaza
Mapenzi ya mtandaoni huwa hayadumu chakushangaza vijana hawajifunzi.
 
Hajawajua wanawake.

Ngoja tumkaribishe ukubwani, tena apewe tuition.

Kaskazini itisheni kikao mapema. Mnakumbuka yule wa Dsm (R.I.P )alipobwagwa na demu wake?
 
Tatizo wanaume wengi wanaona kama vile wakiwasifia wake zao au wapenzi wao mbele za watu wataonekana wamejishusha na wameonyesha udhaifu wa hali ya juu kwahiyo wanajikuta makauzu

Ila wao wanapenda wake zao au wapenzi wao wawasifie mbele za watu aisee wanaume siyo kila kitu lazima mfanye kwa kujali wanaume wenzenu watawaonaje au watasemaje

Fanyeni kwa sababu ya mapenzi yenu kwa wake zenu au wapenzi wenu maana hao wanaume wenzenu hawatowazalia watoto

Na kwenye swala la kuzikwa hata wake zenu au wapenzi wenu wanaweza kuwazika vile vile kwahiyo muache kujifanya makauzu wakati ukweli unajulikana kabisa kwamba wanawake ndo udhaifu wenu namba moja
 
Hajawajua wanawake.

Ngoja tumkaribishe ukubwani, tena apewe tuition.

Kaskazini itisheni kikao mapema. Mnakumbuka yule wa Dsm (R.I.P )alipobwagwa na demu wake?
wanawake wanatatizo gani?
 
Back
Top Bottom