Wanaume!!: kuna ukweli hapa?

Wanaume!!: kuna ukweli hapa?

Nyie si. Mnapenda hela.

Mshatuaminisha hivyo .

Nasisi tunazisaka ili tuwatumie vizuri
Ndiyo na mzisake tu acheni waendelee kupenda pesa maana hata wakiacha kupenda pesa bado mtawatumia tu vile vile kwahiyo kuliko kuwatumia bure ni bora muwatumie na pesa angalau maumivu ya kutumiwa yatapungua
 
Kuna ukweli,na muda wote unashawishika kukaa nyumbani na kuacha kuzurura zurura hovyo
 
Hapana, sio kila kitu ila ndio kitu pekee cha kustawisha penzi, hebu imagine ungekuwa mzuri afu unakutana na mimi nakupa offer za dubai, ibiza na the likes, unachomokaje!?
Hizo offer zikiambatana na mapenzi na kujaliana basi hauwezi kuachwa ila eti unamnyanyasa na kumsaliti mwanamke in the name of your offers my friend kuachwa ni pie
 
Hizo offer zikiambatana na mapenzi na kujaliana basi hauwezi kuachwa ila eti unamnyanyasa na kumsaliti mwanamke in the name of your offers my friend kuachwa ni pie
Yani utoke ninapokupa m uende kupata buku teni!?
 
Bora hata wewe umeona kuwa angalau unatakiwa umsifie mwanamke wako ila kwa kiasi sawa siyo mbaya ila kuna wanaume wanakwambia kumsifia mwanamke ni mwiko hata kama kweli sifa anazo na nikisema sifa simaanishi za uzuri au mvuto tu kama anazosifia nikki wa pili kuna sifa kama za akili au tabia

Sasa kuna wanaume hawasifii wanawake zao kwenye sector yoyote ile iwe ni uzuri mvuto akili au tabia hata wakiwa private tu achilia mbali in public hata kama kweli hao wanawake zao hizo sifa wanazo yaani wanajikuta makauzu na wanaona kama vile watakuwa wamejishusha na wameonyesha udhaifu wa hali ya juu
kuna kitu kinaitwa GRATITUDE hao unaowaona hawana, watu kama hao sio kwa mkewe tu ila huwa hawa appreciate chochote kwenye maisha yao na wana sumu kweli kweli hasa akikosewa hawez kusamehe maana hana shukrani na uwepo wa wengine kwenye maisha yao - hilo nalo ni tatizo
 
Back
Top Bottom