Wanaume!!: kuna ukweli hapa?

Wanaume!!: kuna ukweli hapa?

Tatizo wanaume wengi wanaona kama vile wakiwasifia wake zao au wapenzi wao mbele za watu wataonekana wamejishusha na wameonyesha udhaifu wa hali ya juu kwahiyo wanajikuta makauzu

Ila wao wanapenda wake zao au wapenzi wao wawasifie mbele za watu aisee wanaume siyo kila kitu lazima mfanye kwa kujali wanaume wenzenu watawaonaje au watasemaje

Fanyeni kwa sababu ya mapenzi yenu kwa wake zenu au wapenzi wenu maana hao wanaume wenzenu hawatowazalia watoto

Na kwenye swala la kuzikwa hata wake zenu au wapenzi wenu wanaweza kuwazika vile vile kwahiyo muache kujifanya makauzu wakati ukweli unajulikana kabisa kwamba wanawake ndo udhaifu wenu namba moja
kuna namna ya kusifia bi dada, unasifia unafikia kiasi unakosoa maandiko matakatifu kama sio ibada ya sanamu ni nini? halafu anatokea kundi la "wagumu" duuh! kaka zake wa tambaza ya miaka hiyo wangekuwepo wangemtia bakora kila kitu kina mipaka yake, unataka kusema kama mke wangu nampenda sana ndo nipindue vitu juu chini chini juu? labda hajawahi kuwa na msichana anayevutia watu wengi (wengine tunajionea kawaida maana tunajua stress zake) halafu mapenzi yenyewe sio ule mwili wake, ni ile personality na aura ya mwanamke maana kama ingekuwa mwili...loh! makahaba wangeongoza kwenye ndoa!! watu wa dizaini hii mke akipata ajali akakatika mguu (siombei hata kdg) na ndoa imeishia hapo maana inawezekana kaoa kwa macho tu !!
 
kuna namna ya kusifia bi dada, unasifia unafikia kiasi unakosoa maandiko matakatifu kama sio ibada ya sanamu ni nini? halafu anatokea kundi la "wagumu" duuh! kaka zake wa tambaza ya miaka hiyo wangekuwepo wangemtia bakora kila kitu kina mipaka yake, unataka kusema kama mke wangu nampenda sana ndo nipindue vitu juu chini chini juu? labda hajawahi kuwa na msichana anayevutia watu wengi (wengine tunajionea kawaida maana tunajua stress zake) halafu mapenzi yenyewe sio ule mwili wake, ni ile personality na aura ya mwanamke maana kama ingekuwa mwili...loh! makahaba wangeongoza kwenye ndoa!! watu wa dizaini hii mke akipata ajali akakatika mguu (siombei hata kdg) na ndoa imeishia hapo maana inawezekana kaoa kwa macho tu !!
Bora hata wewe umeona kuwa angalau unatakiwa umsifie mwanamke wako ila kwa kiasi sawa siyo mbaya ila kuna wanaume wanakwambia kumsifia mwanamke ni mwiko hata kama kweli sifa anazo na nikisema sifa simaanishi za uzuri au mvuto tu kama anazosifia nikki wa pili kuna sifa kama za akili au tabia

Sasa kuna wanaume hawasifii wanawake zao kwenye sector yoyote ile iwe ni uzuri mvuto akili au tabia hata wakiwa private tu achilia mbali in public hata kama kweli hao wanawake zao hizo sifa wanazo yaani wanajikuta makauzu na wanaona kama vile watakuwa wamejishusha na wameonyesha udhaifu wa hali ya juu
 
Hivi wanaume mnaamini chenji ni kilakitu kwa mwanamke?
Hapana, sio kila kitu ila ndio kitu pekee cha kustawisha penzi, hebu imagine ungekuwa mzuri afu unakutana na mimi nakupa offer za dubai, ibiza na the likes, unachomokaje!?
 
Back
Top Bottom