mbona kila siku wanaparamiwa
ebu tuondolee ma.shu.zi hapa!mie najichubua nipo muzuri sana pia wanamume wa maana wenye mipesa nipo nao
wanamume kujishaua humu jf kibao wananitaka mie siwataki wanaume wenye hela hawaingii humu
wanaume muwache kujishaua
siku hizi haibaki alama mwili wote unakuwa sawa murangi mumoja maskini ndio wanaoacha alama vidoleni
ni wanaume wachache sana wanaoweza kutambua huyu kajikoboa na huyu ana weupe wake wa asili