mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,331
- 4,857
Kuna mwamba mmoja yeye kila mkewe akijifungua anachukua vioo viwili, kisha anajitazama yeye na mtoto, ataangalia chogo chake na cha mtoto, akiona kasoro ataanza, mke wangu huyu sio wangu na mambo kibao, sasa tabu yote ya nini? Wanaume mnapima pima ma DNA ili mgundue nini?
Zaidi mtajisababishia mamisongo ya mawazo, ndio mana tunakufa mapema kisa kuendekeza mambo ya kipuuzi.
Wahenga walisema kitanda hakizai haramu, mtoto ni mtoto ma vipimo haya muda mwingine yanadanganya utakuja kataa damu yako kisa kipimo, shauri zenu!
Zaidi mtajisababishia mamisongo ya mawazo, ndio mana tunakufa mapema kisa kuendekeza mambo ya kipuuzi.
Wahenga walisema kitanda hakizai haramu, mtoto ni mtoto ma vipimo haya muda mwingine yanadanganya utakuja kataa damu yako kisa kipimo, shauri zenu!