Wanaume kama hawa

UPUPU HUU.
 
Kabisa ndugu, na hata kama haombi na wewe ukajifanya mgumu humpi siku zote kuna wajanja wataanza kumpa na hapo ndipo unakuwa mwanzo wa kumegewa
Swala la kumegewa Galina guarantee .mkuu ...kuna watu wanatoa pesa sana na mademu wao walivyo wajinga wanagongwa nje ..
 
Nyie wanawake mna nini? Kilio chenu ni hicho hicho kila siku! Kwan mliletwa ili tuwalee kama watoto! Pambaneni na hali zenu achananen na dhana tegemezi. Mtaendelea kupigwa kuni kibingo tu.
Afu et bado wanataka haki sawa ..hv hawa wanawake wanajua maana halisi ya 50:50 au wanajisemea tuu huko mitandaoni....Hata kwa biblia tumeambiws tuishi nao kwa akili ..yan ukiwaendekeza ...ni umasikini tuu ndo unafuata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…