Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
mmh! Hii kauli yako tata!
Utata wake uko wapi?
mmh! Hii kauli yako tata!
Utata wake uko wapi?
kuntia machoni !!
Sa kama unampenda unashindwaje kumsaidia hayo mambo?
Unaogopa nini mbona kugegedana huogopi?
nunua wembe mwambie "honey leo nataka nikunyoe" jichekeshe, ukiwa serious ndo utamfanya ajisikie vibaya kwangua hizo nywele na umnunulie deodorant za kupaka kwapani, mnyoe na hizo voooz.
hayo meno nunua dawa ya meno ya sensodyne au Colgate active pro relief ni nzuri sana, unaongea nae friendly umshawishi awe anapiga mswaki atleast twice kwa siku.
hizo kucha muda wa story umkate...
wewe ndo upo responsible kumchange 100%
Maana yake si kukuona? O level kiswahili ulipata nini?
Mbona huweki wazi kuwa Huyo ni shamba boy
. maana ametoka kijijini ndiyo maan yuko hivyo. Kwa kuwa umeamua kutoka na shamba boy basi nenda naye taratibu muelekeze atachenji tu.
we! we! we! kijijini!? aliekuambia wanaume wa kijijini wachafu.nani?labda kijijini kwenu ila vijana wengi.kijijini kwetu ni wasafi tena qapo smart.balaaa..usafi ni hulka ya.mtu na.si eneo.atokalo..mashamba boy yamejaa mjin wala.si.kijijini
Mbona huweki wazi kuwa Huyo ni shamba boy
. maana ametoka kijijini ndiyo maan yuko hivyo. Kwa kuwa umeamua kutoka na shamba boy basi nenda naye taratibu muelekeze atachenji tu.