Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 15,656
- 14,616
Ukikuta j ....puya inabidi uharakishe tu maana hilo ni tangazo la danger for DNo reforms, no election.
Moja kwa moja kwenye mada, hivi nyie wanaume huwa mna shida gani?
Wakati wa mizagamuano hamtaki kabisa kutumia muda kutuandaa, mnara ukisoma 5G nyie mnataka kuzama tu, shida ni nini?
Mna haraka ya nini?, ndege kashakuwa wako manati ya nini eti?
Wanaume wenye hii tabia mbadilike mnatutoa kwenye mood🥲