Hivi kuna mwanaume anayeweza kukaa kwenye ndoa yake kwa kipindi chote cha uhai wake bila kumchit mke wake hata siku moja??siamini kama wapo!!
inawezekana kama mwanaume ameweza jitunza hadi ndoa hyo aina shda.tatizo na nyie bikra zenu zimekuwa hadimu kama mayai ya mbuni
HorsePower MIMI SIJAELEWA HAPO KWENYE RED ,UPO WEWE????????Hapo kwenye bold kuna kweli, tamaa ya mwili huchangia kwa kiasi kikubwa! Lakini tukumbuke pia si wanaume tu wanaotoka nje, wapo wanawake pia ambao kimsingi wao hutoka nje kwa tamaa ya vitu!!!
Mtu yoyote akianza kutoka nje, huwa haachi kirahisi, ni sawa na kula nyama ya mtu au kumtafuna mkuu wa meza, ukionja huwezi kuacha kamwe!!!
Mtambuzi huu ni uchonganishi, tutaaminika kweli?
du Mtambuzi nakusalim mkuu ,
huwa nachukia hiyo tabia sana mtambuzi ,na watu wengi imekuwa kama ni mzigo wa dhambi! HICHO NIKITU AMBACHO I CANT TOLERATE KABISA I DONT CARE ANYTHING HATA KAMA NI MUME WA NDOA NIKIKUGUNDUA THERE ITS OVER I DONT CARE CHRISTIAN MARRAGE OR WHAT NAJALI AFYA YANGU NA WANAONITEGEMEA I WILL GIVE U A BIG GO AHEAD.HILI HATA MUME WANGU ANATAMBUA ,,NO SECOND CHANCE ON THIS MATTER. NILISHA EMPLEMENT HILI SWALA NA NDIO SABABU NALIONGELEA KWA HAKIKA NA NIKO WAZI FROM THE BEGINING,NAAMINI SIJAZALIWA KUUWAWA NA MTU WALA KUTESWA MOYO NA BINADAMU NA ISITOSHE NINA THAMANI KUBWA SANA SIPASWI KUDHARAULIWA NA MTU KUNIONA KAMA MJINGA NAKUNIFANYIA MAMBO YA AJABU.IAM THE CONTROLER OF MY OWN DESTINY!
hilo sio tatizo maadamu yeye amepata pazuri mimi nitawekeza kucheza nawatoto kwani si kuna wajane wo wanaishije?Ukifanya maamuzi na huduma ya kungonoka lazima usitishe.
du Mtambuzi nakusalim mkuu ,
huwa nachukia hiyo tabia sana mtambuzi ,na watu wengi imekuwa kama ni mzigo wa dhambi! HICHO NIKITU AMBACHO I CANT TOLERATE KABISA I DONT CARE ANYTHING HATA KAMA NI MUME WA NDOA NIKIKUGUNDUA THERE ITS OVER I DONT CARE CHRISTIAN MARRAGE OR WHAT NAJALI AFYA YANGU NA WANAONITEGEMEA I WILL GIVE U A BIG GO AHEAD.HILI HATA MUME WANGU ANATAMBUA ,,NO SECOND CHANCE ON THIS MATTER. NILISHA EMPLEMENT HILI SWALA NA NDIO SABABU NALIONGELEA KWA HAKIKA NA NIKO WAZI FROM THE BEGINING,NAAMINI SIJAZALIWA KUUWAWA NA MTU WALA KUTESWA MOYO NA BINADAMU NA ISITOSHE NINA THAMANI KUBWA SANA SIPASWI KUDHARAULIWA NA MTU KUNIONA KAMA MJINGA NAKUNIFANYIA MAMBO YA AJABU.IAM THE CONTROLER OF MY OWN DESTINY!