Wanaume, haya mambo si ya kufanya

Simply the truth, I am married for 5 years and sijawahi mpiga hata kofi, kuna Wakati. I wish ningepata pa kumshtaki, au Mtu logical wa kutusikiliza, kwetu aibu, kwao wanamtetea, kwa watukishi sometimes wanachulia magomvi yenu advantage kumtongoza mke, mnatunyanyasa sana!!!
Mwanaume wastyle hii nadhan unabid ahamie upande wapili, mke umemtolea mahali comcontrol unataka kuwekewa vikao...pambavuuuu
 
Safiiii. Wanaume lia lia tu sijui wawapi hawa?

I hope ata kwenye kale kauwanja badala ya mdada kulia kwa mahaba wao ndo watakuwa wanalia.

Wanaume wa Dar ni shida tupu wanatuaabisha sana.

Mwanaume kutamka neno kama shosti ni kichefu chefu...unaweza mchapa mtu hata vibao.
 
Usivuse imani za watu pimbi we we wapo wGumu zaidi yako na wana imani zao ikiwemo maombi so kama wewe ni pagani lala mbele tu.jua tumetfautiana sana ndugu
 
Hiyo point mwanaume kukesha kufanya Birthday party....

Kuweka status za vijembe whatsapp ni dalili za uchoko
 
Hao n wanaume wa DAR, ila huku kwe2 hapana michezo hyo;
[Bint wa darasa la4 huku kwetu = wanaume wawil wa Dar]
[Mwanamama m1 wa MUSOMA/MARA = wanaume7 wa Dar.]
 
bado mkuu mwanaume kuchekacheka ovyo ni nthenge, kupiga majungu na umbea ni uchoka kutoa maneno ya taaarabu na maneno ya vijembe na shombo ni uchoko wa hali ya juu.
 
Wanaume tumebaki wachache aseee, usione wamevaa suruali amini nakuambia tumebaki wachache!!!
 
kuleta mada za kijinga kuomba ushauri ni tabia za kishoga
 
Back
Top Bottom