AffirmativeMwanaume kulia lia/kuongelea/kulalamika juu ya mapenzi ni dalili za uchoko. Mwanaume kulalamika kuhonga ni uchoko, unataka uhongwe wewe! Uanaume ni majukumu ikiwa ni pamoja na kuhonga. Mwanaume kufanya birthday party ni uchoko tena siku hizi mnatoa cards na kumwagiana maji kama mademu. Mwanaume kuangalia tamthilia ni uboya. Mwanaume kufuatilia habari za kina Wema/Shilole na zote za udaku ni uchoko. Mwanaume kwenda kuombewa ili ufanikiwe badala ya kukomaa na kujiombea mwenyewe ni uboya pia. Mambo mengine achieni wanamama nyie komaeni kutafuta pesa.
Sio mdau mkubwa wa MMU ila Imenibidi niandike uzi huu baada ya kukasirishwa na mada zinazotawala siku hizi JF za wanaume kulalamikia mambo ya kijinga kabisa na kuomba ushauri kwa kitu ambacho hata mtoto anaweza jua nini cha kufanya. Lini kibao kiligeuka wanaume wakaanza kulia mapenzi badala ya wanawake maana kila uzi siku hizi ni mijamaa inalia lia tu kiboya, no wonder kuna uhaba wa nguvu za kiume. Smh
Ha ha ha yani nyie mlikofikia mnasikitisha
Shost angu, best angu kashtakiwa na mme wake amepelekwa polisi kwenye dawati la jinsia eti kamtukana mme wake.... Serious mwanaume na sharubu kama za paka anaenda polisi kumshtaki mke??? Mke kabisa??? Oooh men...
Hahahahahah chukua like yangu mkuuhahaaaaa msg yako kama mlengwa mnajuana kiundani
Ha ha ha ha ha mnazidiwa na niniWanaume tunazidiwa sana na hatutaki piga nyie. Bora tuwashtaki
Ila wewe umezidiwanaume machoko wako wengi sana ...tena wa dar
Ha ha ha ha ha mnazidiwa na nini
Huyo jamaa maungwana sana, angekua anko Marwa huyo mke ingekua story nyingine. Inakuaje umtukane mume wako?Ha ha ha yani nyie mlikofikia mnasikitisha
Shost angu, best angu kashtakiwa na mme wake amepelekwa polisi kwenye dawati la jinsia eti kamtukana mme wake.... Serious mwanaume na sharubu kama za paka anaenda polisi kumshtaki mke??? Mke kabisa??? Oooh men...
Ha ha ha yani nyie mlikofikia mnasikitisha
Shost angu, best angu kashtakiwa na mme wake amepelekwa polisi kwenye dawati la jinsia eti kamtukana mme wake.... Serious mwanaume na sharubu kama za paka anaenda polisi kumshtaki mke??? Mke kabisa??? Oooh men...
wewe ndo zaidIla wewe umezidi
Huyo mwanaume aliye mshtaki mke wake ni kabila gan!!!! huyo mke angekuwa mkoa fulan hivi huko kanda ya ziwa harafu amtukane mmewe sijui hata angekuwa na hali gani maana kule ni balaa tupu.Ha ha ha yani nyie mlikofikia mnasikitisha
Shost angu, best angu kashtakiwa na mme wake amepelekwa polisi kwenye dawati la jinsia eti kamtukana mme wake.... Serious mwanaume na sharubu kama za paka anaenda polisi kumshtaki mke??? Mke kabisa??? Oooh men...
Hata hivo mke ni wa huko huko Kanda maalumHuyo mwanaume aliye mshtaki mke wake ni kabila gan!!!! huyo mke angekuwa mkoa fulan hivi huko kanda ya ziwa harafu amtukane mmewe sijui hata angekuwa na hali gani maana kule ni balaa tupu.