Ha ha ha yani nyie mlikofikia mnasikitisha
Shost angu, best angu kashtakiwa na mme wake amepelekwa polisi kwenye dawati la jinsia eti kamtukana mme wake.... Serious mwanaume na sharubu kama za paka anaenda polisi kumshtaki mke??? Mke kabisa??? Oooh men...
Hope wamekusikia na watapunguza kulialia
SawaAcheni vibomu na drama.
Heri tu tuanze kuwaoa kabisa make mmezidiHauishi ndani mwao pengine mke kazidi mdomo. Kama anakuhadithia kila kinachotokea kwake hilo ni tatizo zaidi.
Heri tu tuanze kuwaoa kabisa make mmezidi


Tena nnavokuzimia, ngoja nije nilete baruaNitolee mahari basi unioe.![]()
Nmekupenda bureIla serious wanaume mmezidi you are too much....
Tena nnavokuzimia, ngoja nije nilete barua
Mmmmmmmmmm!!!Tuache tulalamike banaa